Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Tunaweza kuingia kwenye World War III bila kujua. Kama China na Russia wakiamua kusaidia Korea Kaskazini hapo mambo yatakuwa makubwa kama 1950 - 1953 walifanya hivyo hivyo.

China wamesema kama USA wakishambulia first watasamsadia Korea Kaskazini, Lakini Kama Korea wakishambulia USA kwanza watakuwa Neutral.
acha uongo walisema wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh!, Fundi lakini jamaa wana akili bwana, wazee wa fursa wale hawadanganyi popote, sehemu yenye ulaji wanatulia na wanatuliza akili.
Nalendwa ogopa sana wachina akili zao wanazijuwa wenyewe !!
wana kuambia kila kitu kipo sawa ila tofauti !!!
 
acha uongo walisema wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Uongo uko wapi

Anangalia Hapa:-

Chinese paper says China should stay neutral if North Korea attacks first
China to remain 'neutral' if North Korea attacks first
China will stop America if it attacks North Korea first | Daily Mail Online

Chinese Government use this newspaper and other government owned newspapers and media to state their policies. Every major media outlets in the world including USA media agree this is Chinese Governement official position.

Niambie uongo uko wapi?
 
Uongo uko wapi

Anangalia Hapa:-

Chinese paper says China should stay neutral if North Korea attacks first
China to remain 'neutral' if North Korea attacks first
China will stop America if it attacks North Korea first | Daily Mail Online

Chinese Government use this newspaper and other government owned newspapers and media to state their policies. Every major media outlets in the world including USA media agree this is Chinese Governement official position.

Niambie uongo uko wapi?
unaniletea hvyo vibrog uchwara ebooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaniletea hvyo vibrog uchwara ebooo

Sent using Jamii Forums mobile app

Cool, it obvious you have not got proper thinking capacity, intellectual power or ability to understand anything serious or important topic at all. Talking to you will reduce me to your extreme low level of thinking, to your level. So i will let you get on with it.
 
bora wachapane tu m niende US nkaokote zangu magari na nyumba za wahanga tu maisha yashakua magumu huku kwa mzeekipara kakaza sana nguo zinakamuliwa kwa chuma aseèeeeè

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cool, it obvious you have not got proper thinking capacity, intellectual power or ability to understand anything serious or important topic at all. Talking to you will reduce me to your extreme low level of thinking, to your level. So i will let you get on with it.
hahahah they will drag you down to their level and hit you with experience.
nadhan ulikuwa unajaribu kuelezea hii qoutation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahah they will drag you down to their level and hit you with experience.
nadhan ulikuwa unajaribu kuelezea hii qoutation

Sent using Jamii Forums mobile app

Yes, exactly that. You got it. May be you are not that stupid. May be you are smart guy,but a little bit mistaken on your response on this issue. You seems to me to be like very smart guy. Lets wait, watch and see for your future posts. The Jury is still out.
 
Inabidi ajibu kwa kituo Fundi, hakurupuki kama Ma Punk wenu. Sasa wote wakikurupuka patakalika kweli na hayo ma vyombo yao ya moto?
Hii vita kama kweli ipo, haitakuwa sawa na vita vingi vilivyopita. Bora yaishe kwa amani kwa kweli.
Nakama una ndugu yako USA anza kujiandaa mapema mana wakorea wanaweza chimba hata chini ya bahari kupeleka nuclear bomb
 
Kipank ni kweli atashindwa kama vita itatokea lakini na USA naye ataumia kidogo, safari hii vita itakanyaga ardhi yake. Tofauti na vita zilizopita
Hiyo vita itapoteza wa marekani zaidi ya mil2 hadi ashinde
 
Hiyo vita itapoteza wa marekani zaidi ya mil2 hadi ashinde

Umefanya analysis gani mkuu mpaka kusema hivyo?

Nasikia mmarekani ana ule mfumo wa kutungua makombora juu kwa juu sasa sijui utafanya kazi au mbwembwe tu
 
Kim baada ya kikao kasema anastisha kwamuda kukipiga hicho kisiwa cha Guam ila kama bwana Trump ataleta maneno na vitendo vya kichokozi atakabiliwa kwa pigo kali moja!!


Teh!, kasitisha au dose ya ndugu yake imemuingia?
 
Back
Top Bottom