Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Time will tell indeed mkuu, lakini haya majibu yake hapa baada ya hicho kikao na team yake ya Ulinzi, are not very promising.

Reporter: Will you be going to War with North Korea?!..

Trump: I think you know the Answer tothat..
Hahahahahahaha
Nimecheka adi kiluga majibu gani sasa hayo angesema kiume tutaingia vitani nao tunao uwezo huo Trump bwana kutuachia sisi tufikirie ndio nini ameshakuwa wa baridi mbona korea walisema kiume hatuwezi jadiliana na Trump kwa sababu ni mtu aliyechanganyikiwa na dawa ya mtu aliyechanganyikiwa ni kumpiga tu tupo kwenye mikakati ya kupiga kisiwa cha Guam siku chache zijazo !!!
Naaam haya ndio majibu anayotakiwa kujibu mwanaume siyo unaulizwa swali kwani wewe unasemaje !!!
Trump amekuwa lini mswahili majibu ya uwoga kabisa!!!
Ila tumuache maana anajua akisema tupo tiari anajuwa Kim atakacho kifanya!!
 
Trump huyu..ka retweet hii..


Check out @PacificCommand's Tweet:

Rangi isiwe kigezo lazima atakuwa na vinasaba na mkuu wa mkoa fulani kwa kupenda makiki nilifikiri ni mkuu wa mkoa fulani tu anapenda ma kiki na ma front page na ma flowers kumbe adi Trump !!!
 
Reporter: Will you be going to War with North Korea?!..

Trump: I think you know the Answer tothat..
Hahahahahahaha
Nimecheka adi kiluga majibu gani sasa hayo angesema kiume tutaingia vitani nao tunao uwezo huo Trump bwana kutuachia sisi tufikirie ndio nini ameshakuwa wa baridi mbona korea walisema kiume hatuwezi jadiliana na Trump kwa sababu ni mtu aliyechanganyikiwa na dawa ya mtu aliyechanganyikiwa ni kumpiga tu tupo kwenye mikakati ya kupiga kisiwa cha Guam siku chache zijazo !!!
Naaam haya ndio majibu anayotakiwa kujibu mwanaume siyo unaulizwa swali kwani wewe unasemaje !!!
Trump amekuwa lini mswahili majibu ya uwoga kabisa!!!
Ila tumuache maana anajua akisema tupo tiari anajuwa Kim atakacho kifanya!!


Inabidi ajibu kwa kituo Fundi, hakurupuki kama Ma Punk wenu. Sasa wote wakikurupuka patakalika kweli na hayo ma vyombo yao ya moto?
Hii vita kama kweli ipo, haitakuwa sawa na vita vingi vilivyopita. Bora yaishe kwa amani kwa kweli.
 
Hahahaha labda aende na burundi na kongo somalia asijaribu vita haitakwisha !!!
Rangi isiwe kigezo lazima atakuwa na vinasaba na mkuu wa mkoa fulani kwa kupenda makiki nilifikiri ni mkuu wa mkoa fulani tu anapenda ma kiki na ma front page na ma flowers kumbe adi Trump !!!


Wewe wa underestimate tu, usirudi hapa unalalamika hao wengine wameonewa..
 
Mi nasubili hiyo daring action ya kukishambulia hiko kisiwa cha Guam tu. Maana akiongea Trump watu wanasema oh ni muongeaji tu, haya kipank nae kaongea tusubili kitendo sasa maana wengine wanadiriki kumwita kijana wa vitendo no maneno maneno haha
 
Wamarekani siyo wendawazimu kama yule Panki. Wakisema wanafanya kitu fulani ujue wamekwishafikiria possibilities zote.

Korea pamoja na kuwa na madudu mengi ya kivita, anaweza kuleta madhara kwa Marekani akifanikiwa kurusha japo kombora moja lakini hawezi kufika kokote. Bado teknolojia ya NK ni ya chini sana. Na vita ni pesa. NK haina fedha. Wakiamua tu kupigana na Marekani, itakuwa mwisho wa utawala uliopo na uhai wa panki na ndugu zake wote na mfumo wake wote, na mamilioni watateseka sana.

Sadam alikuwa na rundo la silaha alizokusanya kwa miaka mingi lakini hakupata hata nafasi ya kuzitumia. Alifanikiwa kurusha scud moja Israel iliyoua wayahudi 4. Lakini ni Wairaq wangapi walikufa na wataendelea kufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyu bwana na haya majibu yake, inaonekana kadhamilia kwenda vitani..
Military option is not necessarily war. Military is a big term that means many things: Assasins, Commandos/Elite Ops, Influenced Coup Détat, Missiles, Hiroshima/Nagasaki thing .... list goes on

Hakuna vita hapo. Muda wa vita ya 3 haujafika na ukifika sioni US akiwa major player.
 
Rais wa Merikani anapaswa ku-behave kistaarabu na sio kama jambazi, kauli zake azipime kabla ya kuzitamka in Public- naona yeye anachukulia kila kitu kimzaa mzaa/maigizo, kama anafikiri ana blank cheque ya kushambulia Korea Kasikazini kwa nini atake kufanya wazungumzo na Rais wa Uchina kwanza - anajua vizuri kwamba mihemuko yake inaweza kumtokea puani - Korea kasikazini haipo peke yake katika sakata hili yapo Mataifa yenye uwezo mkubwa kijeshi ambayo yapo tayari kuisaidia Korea Kasikazini kwa kificho, ndiyo maana Kim anajiamini sana si hilo tu kumbuka vile vile kwamba Korea Kasikazini ilianza kufanya matayarisho ya kukabilana na majeshi/mashambulizi ya Merikani tangu miaka mid 1950s, Wakorea wote wa Kasikazini na majeshi yao wanajua nini cha kufanya in case vita ikitokea - Marekani hisipo kuwa makini katika sakata hili basi itajikuta inapata wakati mgumu sana kuliko vita ya Vietnam na WW2.

Tukumbuke kwamba Mataifa kama Uchina, Urusi, Iran na Korea wana usongo mkubwa sana wa kukomesha ujeuri wa U.S, wakipata kisingizio cha kumpa fundisho U.S hawatasita kufanya hivyo regardless ya hasara watakazo pata kutokana na uhamuzi wao, lakini na wao watahakikisha wanairudisha U.S back to stone age era ili isiendelee kuwa tishio kwa amani hapa Duniani, wana contigency plan za kushambulia mission critical infrastrucures za huko Merikani ambazo zinaweza kui-palalyse kiuchumi kwa miaka - hapa nazungumzia wakitumia conventional silaha/Mabom lakini pakitokea Nuclear Xchange Dunia yote ita angamia including waanzilishi wa vita, haya mambo yao ya USA kudai eti Nuclear War is winnable ni ndoto za mchana.
 
Na Kim ndo eti anajiandaa kweli kurusha kombora Guam, inashtua lakini ndo inaonekana itakuwa chanzo cha vita.
Tutarusha na ndio itakuwa mwisho wa ubabe wenu nina kuhakishia!!
inaweza kuwa j4 anga la Guam kushuhudia dude kubwa kwenye anga yao kwa mara ya kwanza wamesha ambiwa wakiliona wafunge macho na walale chini wakisali kila mtu kwa imani yake!!!
 
Military option is not necessarily war. Military is a big term that means many things: Assasins, Commandos/Elite Ops, Influenced Coup Détat, Missiles, Hiroshima/Nagasaki thing .... list goes on

Hakuna vita hapo. Muda wa vita ya 3 haujafika na ukifika sioni US akiwa major player.

Watu wanapaniki tu lakini mimi naamini hakuna vita itakayotokea.

NK ni kawaida yao kuchimba biti. Hawajaanza jana wala leo.

Tokea enzi za Kim Il Sung mikwara yao iko hivyo hivyo.

Na kusema ukweli mimi huwa naifurahia sana maana jamaa ni wabobezi wa kuchimba biti.

Lakini truth be told, it's all hot air and smoke.

Labda tofauti iliyopo sasa ni kwamba Trump naye anapenda kutumia bombast. Kwake yeye kila kitu lazima azidishe...lazima atie chumvi.

Hata akiongea na boy scouts ana kwa ana mwenzio atatia chumvi na kusema eti walimpigia simu ili waongee naye.

Trump is so given to hyperbole. It's who he is.

Mwisho wa siku, kilichopo hapa ni mikwara tu. Nchi huwa haziendi vitani kisa maneno. Huwa zinaenda vitani kutokana na matendo.

Na mpaka sasa sijaona matendo yatayoweza kuleta vita dhidi ya NK.

And btw, latest biti ya North Korea ni kwamba Trump needs to be prudent or the US will face a "tragic doom".

Hahahahaaa....that shit is so funny to me.
 
Tutarusha na ndio itakuwa mwisho wa ubabe wenu nina kuhakishia!!
inaweza kuwa j4 anga la Guam kushuhudia dude kubwa kwenye anga yao kwa mara ya kwanza wamesha ambiwa wakiliona wafunge macho na walale chini wakisali kila mtu kwa imani yake!!!
hahahahahahaha ayaaaa mkuu me yangu machoo
 
Marekani namshauri aendelee kuweka vikwazo kwa N.K Badala ya kuwaza vita intelligence ya state ni super sana if they are goin to war with N.K they will Fall to super empire
 
Marekani namshauri aendelee kuweka vikwazo kwa N.K Badala ya kuwaza vita intelligence ya state ni super sana if they are goin to war with N.K they will Fall to super empire
What do you mean by" they will fall to super empire"? Elaborate please!!!
 
View attachment 563619

Trump: BIG, BIG TROUBLE, IF ANYTHING HAPPENS TO GUAM.

Trump: There's a possibility of "Military Option" for Venezuela

More Updates..

Trump warns North Korea against making 'overt' threats - CNNPolitics

Tunaweza kuingia kwenye World War III bila kujua. Kama China na Russia wakiamua kusaidia Korea Kaskazini hapo mambo yatakuwa makubwa kama 1950 - 1953 walifanya hivyo hivyo.

China wamesema kama USA wakishambulia first watasamsadia Korea Kaskazini, Lakini Kama Korea wakishambulia USA kwanza watakuwa Neutral.
 
Back
Top Bottom