Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Trump Meets With National Security Team Amid North Korea Crisis

Military option is not necessarily war. Military is a big term that means many things: Assasins, Commandos/Elite Ops, Influenced Coup Détat, Missiles, Hiroshima/Nagasaki thing .... list goes on

Hakuna vita hapo. Muda wa vita ya 3 haujafika na ukifika sioni US akiwa major player.


Asante kwa ufafanuzi mkuu, 'military option'
Uliyofafanunua nimewaza ni hiyo aliyogusia kuhusu Venezuela, kama kweli watafikia huko..
 
Tunaweza kuingia kwenye World War III bila kujua. Kama China na Russia wakiamua kusaidia Korea Kaskazini hapo mambo yatakuwa makubwa kama 1950 - 1953 walifanya hivyo hivyo.

China wamesema kama USA wakishambulia first watasamsadia Korea Kaskazini, Lakini Kama Korea wakishambulia USA kwanza watakuwa Neutral.


Nimependa hii move ya Mchina, pengine itasaidia ku de escalate hii kitu kwa kiasi especially kwa upande wa Kim, kutokana na ukaribu wake na Mchina.
 
Tutarusha na ndio itakuwa mwisho wa ubabe wenu nina kuhakishia!!
inaweza kuwa j4 anga la Guam kushuhudia dude kubwa kwenye anga yao kwa mara ya kwanza wamesha ambiwa wakiliona wafunge macho na walale chini wakisali kila mtu kwa imani yake!!!

Fundi bhanaa! [emoji1] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata enzi za sadam huseni walisema hivyo kuwa USA anaogopa kwani kuna bomu la scuad linauwezo wa kutoka china hadi mbagala!!!

Saddam naye alikuwa na mikwara hatari.

Hata mawaziri wake walikuwa wana mikwara balaa.

Kuna mmoja huyo eti alikuwa anakataa kuwa hakuna vifaru vya Wamarekani ndani ya Iraq wakati vilikuwepo vikijivinjari kwenye mitaa ya Baghdad.
 
Hata enzi za sadam huseni walisema hivyo kuwa USA anaogopa kwani kuna bomu la scuad linauwezo wa kutoka china hadi mbagala!!!
Sasa mkuu Sadam na Kim ni watu wawili tofaut kabisa, halafu sidhani kama Sadam alikuwa ana hizo ICBM.

Kim pamoja na chochoko zake zote lakini bado wameshindwa kumpiga wakati Sadam yeye walituma mpaka wakaguzi na hizo silaha wakazikosa ila mwisho wa siku wakampiga. Ushajiuliza kwa nini Kim hawajampiga mpaka leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamarekani siyo wendawazimu kama yule Panki. Wakisema wanafanya kitu fulani ujue wamekwishafikiria possibilities zote.

Korea pamoja na kuwa na madudu mengi ya kivita, anaweza kuleta madhara kwa Marekani akifanikiwa kurusha japo kombora moja lakini hawezi kufika kokote. Bado teknolojia ya NK ni ya chini sana. Na vita ni pesa. NK haina fedha. Wakiamua tu kupigana na Marekani, itakuwa mwisho wa utawala uliopo na uhai wa panki na ndugu zake wote na mfumo wake wote, na mamilioni watateseka sana.

Sadam alikuwa na rundo la silaha alizokusanya kwa miaka mingi lakini hakupata hata nafasi ya kuzitumia. Alifanikiwa kurusha scud moja Israel iliyoua wayahudi 4. Lakini ni Wairaq wangapi walikufa na wataendelea kufa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeongea mambo mengi kwa mara moja, tena ukilalamika,
1: Wamarekani sio Wenda wazimu, Wakorea ni Wendawazimu (Kweli?, hivi hujui jamaa. Kuwa wanajitetea)
2: Korea anaweza kurusha kombora mpaka Marekani lakini atafika kokote (kweli)
3: Technolojia ya NK ni ya Chini sana (Lakini ana ICBM na vifaa vingi vya kisasa alizotengeneza mwenyewe)
4: Vita Pesa na Korea ana pesa
5: Wakiamua kupigana na Marekani (Lini?, NK hana nia ya kupigana na Marekani bali Markani ndio mwenye kutaka vita na NK)
6: Sadam alikiwa na Rundo la Silaha (Hivi kweli unamlinganisha Sadam na hao bidume wa Korea?)
7: hivi kweli ni Scud moja tu lililotua Israel?
 
Hata enzi za sadam huseni walisema hivyo kuwa USA anaogopa kwani kuna bomu la scuad linauwezo wa kutoka china hadi mbagala!!!
Kwani ile vita marekani alishinda? Hakushinda ndiyo maana bush mtoto alikuja kumalizia kwa kupitia umoja wa mataifa na kumlaghai Sadam hussein. Kimsingi ni urusi ndiye alikuwa akimpa kampany sadam kwa silaha ile vita ya kwanza. Sasa kama iraq ya sadam ilimsumbua marekani je north korea ambayo moja kwa moja inabebwa na Urusi pamoja na china kama wakiamua kumsupport north korea marekani lazima naye ateteleke. Jifunzeni kupitia vita kama ya iraq na marekani. Nuclear haitatumika kamwe maana hata atakayeitumia itammaliza naye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu Sadam na Kim ni watu wawili tofaut kabisa, halafu sidhani kama Sadam alikuwa ana hizo ICBM.

Kim pamoja na chochoko zake zote lakini bado wameshindwa kumpiga wakati Sadam yeye walituma mpaka wakaguzi na hizo silaha wakazikosa ila mwisho wa siku wakampiga. Ushajiuliza kwa nini Kim hawajampiga mpaka leo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa Lil Kim wampige kwa sababu gani?

Kupigwa kwa Saddam kulikuwa na chanzo.

Chanzo chenyewe ni yeye kuivamia Kuwait.

Na hiyo ya mara ya pili [2003] hata wao Wamarekani walio wengi wanakubali kuwa walichemka. Na sidhani tena kama Wamarekani wapo tayari kwenda vitani kwa sababu za kipumbavu kama walivyofanya kwa Iraq ile 2003. Vita ni gharama. Na si gharama kifedha tu. Vita hugharimu hadi maisha ya watu. Kuna wengine wanakufa kabisa na wengine hupata vilema vya maisha.

Sasa yeye Lil Kim kutwa kucha anachimba biti na kurusha makombora yake baharini huko...na mengine huwa hata yanamlipukia humo humo ndani ya ki-hermit kingdom chake....wamwanzishie timbwili kwa sababu gani? Kisa tu huwa anachimba mabiti hewa?

Ukitaka uone anaanzishiwa basi na afyatue hayo makombora yake huko Guam au Japan....hapo ndipo utapokiona kichaa cha Trump na Marekani.

Lakini kamwe Marekani haiwezi kuanza tu kumpiga kisa maneno au yeye kufyatua makombora yanayomlipukiaga yeye mwenyewe.

Vita si jambo la kitoto kiasi nchi kama Marekani iingie vitani kwa sababu za kipumbavu.
 
n.k hawezi kusimama hata masaa mawili vitani na US.
Sadam hakuwa na nuclear weapon lakini alisimama nao muda gani hao wamarekani

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Umeongea mambo mengi kwa mara moja, tena ukilalamika,
1: Wamarekani sio Wenda wazimu, Wakorea ni Wendawazimu (Kweli?, hivi hujui jamaa. Kuwa wanajitetea)
2: Korea anaweza kurusha kombora mpaka Marekani lakini atafika kokote (kweli)
3: Technolojia ya NK ni ya Chini sana (Lakini ana ICBM na vifaa vingi vya kisasa alizotengeneza mwenyewe)
4: Vita Pesa na Korea ana pesa
5: Wakiamua kupigana na Marekani (Lini?, NK hana nia ya kupigana na Marekani bali Markani ndio mwenye kutaka vita na NK)
6: Sadam alikiwa na Rundo la Silaha (Hivi kweli unamlinganisha Sadam na hao bidume wa Korea?)
7: hivi kweli ni Scud moja tu lililotua Israel?
MKUU hebu tuwacheki na wataalam maoni yao...mcheki huyu generali wa urusi alichosema kwe mahojiano na Russian state media RT
, modern surveillance technologies allow the US to know “the exact location of all missile systems and nuclear production facilities” possessed by Pyongyang.

“The Americans can strike North Korea – its nuclear missile development centers, industrial facilities; try to eliminate everything that North Korea created in terms of medium-range and long-range missiles and nuclear production,” he said.
The American B-1 bombers will be able to inflict significant damage on Pyongyang’s underground nuclear development facilities and missile silos, “taking into account the weakness of the North Korean anti-missile defense,” Ivashov said.

He was also skeptical about Pyongyang’s threats to target the US territory of Guam in case of an attack.

“To some extent, it’s a bluff on the part of North Korea; an attempt to save face and avert the American blow through international rhetoric,” he said.
soma zaidi hapa kwe hii link ya RT... haya mambo magum mkuu
North Korea stands no chance against US, Guam threat is a bluff – Russian general to RT
 
Wamarekani siyo wendawazimu kama yule Panki. Wakisema wanafanya kitu fulani ujue wamekwishafikiria possibilities zote.

Korea pamoja na kuwa na madudu mengi ya kivita, anaweza kuleta madhara kwa Marekani akifanikiwa kurusha japo kombora moja lakini hawezi kufika kokote. Bado teknolojia ya NK ni ya chini sana. Na vita ni pesa. NK haina fedha. Wakiamua tu kupigana na Marekani, itakuwa mwisho wa utawala uliopo na uhai wa panki na ndugu zake wote na mfumo wake wote, na mamilioni watateseka sana.

Sadam alikuwa na rundo la silaha alizokusanya kwa miaka mingi lakini hakupata hata nafasi ya kuzitumia. Alifanikiwa kurusha scud moja Israel iliyoua wayahudi 4. Lakini ni Wairaq wangapi walikufa na wataendelea kufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchina ametoa msimamo kuwa hatakubali USA kupindua n.Korea kwahiyo wamalize ugovi wa USA na n.Korea kwa mazungumzo tu na hata Russia ana support China, kumbuka China kiusalama hawez kukubal N.korea wavamiwe maana yake Usa atakuwa na access muhimu kuweza hata kumpiga mchina na maslahi yake mchina yatapotea

Kwa haraka tu hii ikitokea itakuwa ni vita ya super power huyo n.korea ni chambo tu

Jiulize kwanin wana sayansi wa ki Russia na ki China ndiyo wanao husika sana hiyo uundwaji wa Nuclear bomb

Binafsi naona hakuna vita ila kuna ile Cold war (kama enz za USSR)
 
Back
Top Bottom