Russia is a close ally of Assad and has sent troops and aircraft to Syria to help him in his 6-year civil war against rebel troops and the terror group ISIS.Je, Russia wanatakaa kimya wakati rafiki yao anabamizwa? kama wataamua kurudisha mashambulizi je, ndiyo itakuwa hatua za mwanzo za vita kuu ya tatu duniani!? CNN wanadai kabla ya mashambulizi kuanza rasmi, Russia walijulishwa kuhusu mashambulizi hayo.
Kwa Hali ilivyo.... Mrusi ataishia kunung'unika tu... Mwanaume ameshaingia kazini na kama yeye kidume awashe sasa hizo s 200 au s300 na tena kama ajipendi zaidi huyo Russia wenu ajibu mapigo ndo atajua Kwanini kanga shingoni Hana manyoyaGeneral Mattis na Trump raha sana hadi Urusi kabakia kupiga kelele tu
Km Leo nimkute Bashite analiwaa na simba, aseee hyo raha ya kumsaidia naitoa wapi?!. Ndo kwanzaaa ntamkatia kachumbari.Wananchi wakiwa na hali mbaya,
Wakiona wanaonewa
Wakiona unafanya mambo yasiyo na maana
Hawawezi kukusaidia pale upatapo tatzo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila jf raha sanaaa.Acha ufala wewe.... Bashite baba yako mzazi usinifanishe mimi na Bashite mimi sijafoji vyeti... Pumbafuuuu
Ila Hatutukani wala kukashifiwa Dini ya Mpondaji, Kisasi kikilipwa Msitukane dini ya anaerudisha Mapigo [emoji12][emoji12]
Mkuu sio Libya tu...nchi zote alizoshirik kuwaondoa watawala... USA ameziacha kwenye machafuko mpaka leo...mfano, Libya,misr, Iraq,hata Vietnam japo Sasa imetulia... Cjui kwa nn hajifkr kama ndo source ya migogoro...
Kweli duniani bado kuna wachache sana wenye kufkiri timamu!Hata kama ni wizi,mabepari ni watu wazuri angalau wanajali haki za binadamu,na huyo anaye wachoma watu wake kwa gesi ya sumu? Kwa nini asipigwe?
Achana na huyo Mrusi mweusi wa kwa MtogoleFicha ujinga wako ndugu! US amepiga Syria kwa sababu Serikali ya Syria imeua raia wake kwa kutumia silaha za Sumu. Na hilo ni onyo tu,wakiendelea Watajua mmarekani ni nani katika hii dunia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa Hali ilivyo.... Mrusi ataishia kunung'unika tu... Mwanaume ameshaingia kazini na kama yeye kidume awashe sasa hizo s 200 au s300 na tena kama ajipendi zaidi huyo Russia wenu ajibu mapigo ndo atajua Kwanini kanga shingoni Hana manyoya
Wewe ni mbumbumbu kama Habib Mnyaa,huelew maana ya ges ya sumu? Kama unampenda Assad kampe kibashite,kenge weeKweli duniani bado kuna wachache sana wenye kufkiri timamu!
Et Anawachoma na sumu ya gesi kwani hao wanaoenda kumuondoa kwa kummwagia maji ya uhai au Kilimanjaro, badili fikra usifuate mkumbo
Hahaaaa.....trump bana.... kasema ALL OPTIONS are on the table. I hope even Pyongyang option is among them....Pro Russians wamechukia sana hivo kubaliana na matusi ya huyo Pro Russia
Urusi alipewa taarifa kuwa napiga Syria ila hakuambiwa wapi.....
Urusi alikuwa na uwezo wa kuyatungua hayo mabomu ila hakuona sababu ya kufanya hivo maana ingekuwa ni kuingia vita na USA na Dunia mzima maana dunia nzima kasoro Urusi,Syria na Iran ndio hawakufedheheshwa na kilichotokea
Leo hii Trump kaonekana Mwanaume hata waiokuwa wanampinga kila siku
Kina McCain na Schumer wanamkubali kwa alichofanya
Afu Trump mhuni sana kafanya hayo akiwa na Rais wa China
Nina hakika NKorea hatarudia ujinga wake
Teyari kaoneshwa Trump si wa mchezo mchzo
Yaani waarabu wakishika kile kijitabu chao wanawehuka kabisa.....ni chinja ua pata thawabi nenda peponi.....Sio kweli mkuu..soma soma historia za vita , Germany ,Japan , Korea ya kusini huko kote Mmarekani alishapita na mtutu , Mbona nchi hizi zipo juu sana kimaendeleo ??na zimetuliaaaaa.Waarabu wabadilike kuuana wenyewe kwa wenyewe sio uvumbuzi wa tatizo,
akili timamu haihtaji degree au PhD,Wewe ni mbumbumbu kama Habib Mnyaa,huelew maana ya ges ya sumu? Kama unampenda Assad kampe kibashite,kenge wee
You,your father,mother and all your siblings are not only stupids but creatures without minds yaan idiots.Kama hufahamu,all efforts should be employed to deal with a crook like you and Assad.We can dare to save the next generation of Syria at the expense of todays generation,hutaki unaacha ,endelea na u bashite wako halafu tuone nani atashinda.akili timamu haihtaji degree au PhD,
Et Assad katumia sumu ya gesi kwa raia!
Trump yeye anaenda kutumia mkojo wako kumng'oa Assad???
Au kufkr nako mpaka upewe tuition?? Stupid!