Go Trump be the winnerGo Trump..
dada au bibi?Hachukui huyo, hakuna cha mfumo dume wala mfumo mume, yude dada anavunja na kuandika record mpya katika nchi hiyo.
Main stream media unadhani zitatoa matokeo gani zaidi ya yale ya kumpamba Bibi..
Hata mkiloga na tabiri za prof Litchman, bibi anawamwaga! Ingawa I agree with some of his Factors!Main stream media unadhani zitatoa matokeo gani zaidi ya yale ya kumpamba Bibi..
Mawazo ya africaTrump Trump Trump! Shinda kiongozi uje uwahadabishe akina Museven na Kabila kamanda
Trump Trump Trump! Shinda kiongozi uje uwahadabishe akina Museven na Kabila kamanda
nilidhani utamgawa mama mwenye nyumba nihudhulieTrump akishinda nitafanya sherehe nyumbani kwangu
Ni mbaguzi ndio lakin kuna maneno mengine anayaongeaga ambayo huwa yanafichwa kwa blanketi la diplomasia. Ubaguzi ni mentality ya wazungu walio wengi sema iyodiplomasia huwa inawaficha so kapatika ambae hajali diplomasia yeye anamwaga tu ndo hapo watu wanapomkubalia... Kwa vyovyote vile hata kama akishinda bado hawezi fanya kinyume na Sera za kimarekani, hao akina mseveni anaowasema ni mbwembwe tu hawezi waondoa madarakani maana hawaizuiii chochote marekani.Huyu mbaba anapendewa nini naomba kujua, Sijuagi siasa..... Mbona huwa naona ana kauli chafu za kibagudhi sana dhidi ya watu weusi, naomba kueleweshwa.