Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Trump akishinda , muanze kuwaandalia ndugu zenu walioenda Usa mahali kwa kufikia watakaporudi huku maana deadline ya kukaa usa ni siku ya pili ya Trump ndani ya jumba jeupe.
 
Trump hawezi shinda.. milele, akishinda nataka my two big balls hanging between my legs..!!
 
14925499_690190784496007_8216304307417248988_n.png


Sawa, kura zinaendelea kupigwa...wabongo kwa ujinga hamwezekani!
 
Kuna jamaa limoja litaalamu kutoka Visiwani kule kwenu nadhani limeshafika kule, kufuta uchaguzi kama Trump akishinda!
 
Trump akishinda , muanze kuwaandalia ndugu zenu walioenda Usa mahali kwa kufikia watakaporudi huku maana deadline ya kukaa usa ni siku ya pili ya Trump ndani ya jumba jeupe.
Wanaoshabikia trump hawana ndugu huko wala hawajui siasa na uchumi wa marekani! Wanashabikia tu!!!
 
Wengi mnamshabikia Trump bila kujua mnachofanya. Trump akiingia madarakani dunia haitakuwa salama.
 
Kama walimshabikia lowasa walio sema ni fisadi kwa miaka 7 Leo unashangaa hao hao kumshabikia trump
 
Ni mbaguzi ndio lakin kuna maneno mengine anayaongeaga ambayo huwa yanafichwa kwa blanketi la diplomasia. Ubaguzi ni mentality ya wazungu walio wengi sema iyodiplomasia huwa inawaficha so kapatika ambae hajali diplomasia yeye anamwaga tu ndo hapo watu wanapomkubalia... Kwa vyovyote vile hata kama akishinda bado hawezi fanya kinyume na Sera za kimarekani, hao akina mseveni anaowasema ni mbwembwe tu hawezi waondoa madarakani maana hawaizuiii chochote marekani.
Nisawa na Obama alivyo jinadi kuwa yeye hapendi vita katika uongozi wake marekani haitapeleka majeshi kupigana lakin nini kilichotokea Libya? Nini kinaendelea sylia? Ndo mujue hizo ni Sera za kimarekani pale inapoona masirahi yake yanaguswa.
Ahsante, ila ana nini cha mno hadi apendwe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom