Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Wamarekani huwezi kuwadanganya kwa propaganda za kijinga .Hayo ndio maamuzi magumu Trump ndio kasha shinda kule Duniani hakuga Ujecha km huku
 
Mmmh sina chanzo cha kuaminika zaidi ya whatsapp, na ndio huko nlikoziona...
Nikaja kuona kapiga picha na flaviana matata kamshika kiuno kama kashika mwiba.
Nimeomba kueleweshwa nimesema sijui kitu teh
Loh....kashika kiuno kama kashika mwiba?
 
MATOKEO HADI KUFIKIA SAA 10:20 ASUBUHI E.A TIME

Electoral votes Clinton 218 while 55,219,174 (47.1%) popular votes

Electoral votes Trump 266 while 56,435,390 (48.2%) popular votes

In order to win election that candidate must acquire 270 electoral votes
Lol...sitaki kuamini km Trump anaweza kuwa ahead of Clinton. I need a person with the highest convincing power to convince me!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom