Kila chombo kina mwelekeo wake.Radio na tv yake ilikuwa inatumika km chombo cha propaganda ya ccm.hakujali hisia za upande wa pili.chombo chake ingetumika vizuri ruge leo msiba wake ungefanana na mwl nyerere
Bro hakuna mtu aliyekamilika hapa duniani. Na kwa tafsiri yako ya unyonyaji wewe pia ni mnyonyaji kwa namna moja ama nyingine..unaweza kuwa unamnyonya mtu mmoja, wawili au zaidi kulingana na Hali yako. Hayo yote uliyoyaongea kuhuhu Ruge hayana nafasi tena maana the guy is dead, GONE for good.True umeongea ukweli lakin lazima tuliobaki tujisahihishe kidogo.....
Watanzania tumekuwa tukichukiana sana tukifanyiana fitina na mengine mengi....
Wanasiasa wanatafutana kumalizana na kuwamaliza wakosoaji wake bila kujari wao watakufa na kusahau kwamba kuna Mungu....
Wafanya biashara wanafanyiana figisu figisu ili mwenzie aanguke yeye aendelee kuwa juu mfano kwenye insue ya kupotea kwa Mo kuna mfanyabiashara mkubwa alikuwa akiomba apotee jumla....
Wafanyabiashara na watu wenye makampun wanawafanyisha kazi ngumu wafanyakazi wao kwa malipo kidogo ili waendelee kuwa watumwa kwao bila kujali kwamba kuna Mungu na wote tutaenda na mali kuziacha duniani......
Angalia maisha ya wasanii walio imba zaidi ya miaka 20 maisha yao wengine wanatafuta kukodi vijigari vyetu mtaani ili wasipate aibu uko waendako halafu leo hii tunakuwa wanafiki kusema ukweli kwamba pamoja na ukweli kwamba jamaa alibuni watu waimbe ila plan yake ilikuwa jinsi gani atapiga pesa kupitia wasanii wasio na shule haya sasa kifo icho hakina saa wala dakika .....
Tuache unafiki hawa ni moja ya wanyonyaji wakubwa wa wasanii mimi uwa naumia sana kuona mtu anakufa tunajifanya kumuonea huruma wakati ukweli tunaujua
Uwa pia naumia kusikia msanii kafa halafu tunaomba michango ya hali na mali kama kwa Ngwea na Godzilla inaniuma sana....
Najua mimi pia kuna vingi nimeshafanya vibaya lakin kiukwel uwa napenda sana kuwa mkweli mimi nachukia mtu anayetumia mgongo wa mwingine hasa asiye na elimu kupiga pesa au kujipatia utajiri au kujipatia mtaji wa kisiasa uwa inaniuma sana napenda sana JUSTICE
ingawa inauma kusema ukweli lakin ndio ivyo watu hawa na wengine wanaendelea wamesababisha maisha ya wasanii kuwa hivi yalivyo kwa kutumia nguvu ya media....
Wasanii wengi wanajua lakini wanakuwa wanafiki hongera kwa Lady J Dee na Platinums kwa kukubali kujitoa kusimama wenyewe maendeleo yenu tunayaona......
Ruge Mungu amlaze panapositahili
Tujiandae muda wowote tunaenda tusifanyie watu vitu vibaya tu, tusiwe na viburi, tusitumie elimu zetu kuwazamisha wasio soma tupendane.
R.I.P Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah wengi sana ,JK anasema "Ruge alikua MSHIRIKA MWAMINIFU ata baada ya utawala wake" Hii inamaanisha JK anahisi kuna washirika wake walimtenga na kumsaliti baada ya yeye kutoka madarakani lakini Ruge ni moja ya WASHIRIKA waliobaki royal to JK hata baada ya JK kuachia madaraka.
Akalazwe panapomstahili,...kama aliwezesha kutuletea hili shetani muua watu na aende tu kwa kweliSoma barua ya Polepole View attachment 1033060huyu alikuwa Kada wa CCM ,Chadema watapinga nini?!
Aisee " Kwahiyo ana mchango wake pia kwenye kuwaumiza watanzania !?yeah, siasa za kuibeba CCM of course... translating into kuwabebesha Watanzania zigo la misumari!
Hizi ni kauli za hovyo sana, pigo kubwa kwa Tanzania ipi?Ruge alikua mtu special sana Tanzania
Ni pigo kubwa Tanzania
HakikaRadio na tv yake ilikuwa inatumika km chombo cha propaganda ya ccm.hakujali hisia za upande wa pili.chombo chake ingetumika vizuri ruge leo msiba wake ungefanana na mwl nyerere
Ama kweli hujafa, hujaumbika.Jakaya Kikwete kaandika message ambayo hajawahi kuandika Kwenye kuomboleza Msiba wa Mtu yoyote kabla
Jakaya anakiri hadharan Kwenye page yake rasmi ya Instagram Kuwa Ruge Mutahaba 'KAMSAIDIA SANA' wakati wa Utawala wake Na 'BAADA YA KUSTAAFU' kwake . Ukisoma between lines hii statement ya Jakaya utajua Ruge alikuwa zaid ya Ruge Mutahaba
Jakaya kashindwa kuzuia hisia zake kufunguka lakin Mwanae Rais Mstaafu Ridh one kashindwa kuandika chochote zaid ya kuweka Picha ya maombolezo
Najua namna familia hii ya Rais Mstaafu ilivyoguswa Sana Na Msiba huu kwa Kuwa Ruge alikuwa nguzo muhimu Sana ya Utawala ule
Itatuchukua Miaka mingi Sana kupata Mtu wa Aina Ya Ruge Kwenye Tasnia ya Sanaa lakin yenye Mchango Mkubwa Sana Kwenye Utawala Na Jamii kwa jumla
Kwa mara ya kwanza nimeamini wahaya ni malaya wa kila kitu. Yaani Bushoke, Hafsa, wote hao ni wahaya plus Ruge ili wapewe fursa? Yawezekana Banana mama yake mhaya naye. Ndo maana yule alikuwa mbunge wa Kyerwa Muntu alitaka kuiuza sehemu kwa Idd amin. Ya Bashite yaliishia wapi?Kuna ukweli mwingi sana kwenye bandiko lako. Kampeni za JK kunako 2005 zilichagizwa sana na wanamuziki kaka Bushoke, Hafsa, Banana, Ngwea, Mwana FA na wengine wengi. Kwa hili, Ruge tutamkumbuka sana
Kwa hyo unapingana na yule mla mtama??Ruge Mutahaba ndio Mhasisi wa Neno Hapa Ni Kazi Tu ambalo kwa sasa hivi ni " Hapa Kazi Tu"
" Ogopa vitu viwili Mungu na Teknolojia" Ruge Mutahaba
" Kama kuna jambo unalolifanya halina Changamoto yoyote jua kuna sehemu unakosea" - Ruge Mutahaba.
Huu ni msiba wa taifa,sio msiba cha chamaWanabodi
Hili ni Jukwaa la Siasa na hili sio bandiko la Pole kwa kifo cha Ruge Mutahaba, bali hii ni Tribute ya mchango wa Ruge Mutahaba kwenye mapinduzi ya siasa za Tanzania, hivyo japo hakushiriki active politics alikuwa passive politician, mimi namuita Ruge Mutahaba as one of the smartest silent politician in Tanzania.
Kwenye uzi huu, tunaangazia na kuenzi mchango wa Ruge Mutahaba kwenye Siasa za Tanzania.
Ni Ruge ndie aliye introduce Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo movies na kundi la the Comedy kwenye kampeni za kisiasa kwenye kampeni za Kikwete 2005.
This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.
Usikute hiki alichokifanya Ruge, ndicho kilichowafanya watu Kama Sugu, Prof.Jay na Wasanii kuingia kwenye active politics.
Hili sio bandiko la maombolezo but let's celebrate his life na mchango wake kwenye Siasa za Tanzania.
Hizi ni baadhi ya Tribute za Ruge Mutahaba kutoka kwa wanasiasa mbalimbali
Jee wewe unam tribute Ruge Mutahaba kwa lipi katika siasa za Tanzania?.
Ruge ni Wetu Sote
Ruge ni wa Taifa, hivyo huu ni msiba wa Taifa.
RIP, Rafiki, Mshirika, Mpambanaji na Mwana Habari Mwenzangu
Bosi Ruge Mtahaba
Paskali
Kamata nakala yako ya Tanzania Daima wamedadavua vizuri tu.Hizi ni kauli za hovyo sana, pigo kubwa kwa Tanzania ipi?
Na pigo laaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yanakuwaga maneno ya kujifariji tu pale mtu wako wa karibu au umpendae anapofariki duniaKamata nakala yako ya Tanzania Daima wamedadavua vizuri tu.
AiseeAkalazwe panapomstahili,...kama aliwezesha kutuletea hili shetani muua watu na aende tu kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa attribute kwenye siasa hasa chama cha ccm kwani hajawi kulani ukandamizwaji wa ccm dhidi ya demokrasia, risasi kwa Lissu, kupotea kwa watu nkWanabodi
Hili ni Jukwaa la Siasa na hili sio bandiko la Pole kwa kifo cha Ruge Mutahaba, bali hii ni Tribute ya mchango wa Ruge Mutahaba kwenye mapinduzi ya siasa za Tanzania, hivyo japo hakushiriki active politics alikuwa passive politician, mimi namuita Ruge Mutahaba as one of the smartest silent politician in Tanzania.
Kwenye uzi huu, tunaangazia na kuenzi mchango wa Ruge Mutahaba kwenye Siasa za Tanzania.
Ni Ruge ndie aliye introduce Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Bongo movies na kundi la the Comedy kwenye kampeni za kisiasa kwenye kampeni za Kikwete 2005.
This is a very big milestone kwenye Siasa za Tanzania, kwa sababu ndipo kampeni za kisiasa zikapata ladha mpya kuvutia vijana kushiriki Siasa.
Usikute hiki alichokifanya Ruge, ndicho kilichowafanya watu Kama Sugu, Prof.Jay na Wasanii kuingia kwenye active politics.
Hili sio bandiko la maombolezo but let's celebrate his life na mchango wake kwenye Siasa za Tanzania.
Hizi ni baadhi ya Tribute za Ruge Mutahaba kutoka kwa wanasiasa mbalimbali
Jee wewe unam tribute Ruge Mutahaba kwa lipi katika siasa za Tanzania?.
Ruge ni Wetu Sote
Ruge ni wa Taifa, hivyo huu ni msiba wa Taifa.
RIP, Rafiki, Mshirika, Mpambanaji na Mwana Habari Mwenzangu
Bosi Ruge Mtahaba
Paskali
Mungu ukiangalia matendo na dhambi zetu nani atasimama? Lakini kwako baba tumeuona msamaha.True umeongea ukweli lakin lazima tuliobaki tujisahihishe kidogo.....
Watanzania tumekuwa tukichukiana sana tukifanyiana fitina na mengine mengi....
Wanasiasa wanatafutana kumalizana na kuwamaliza wakosoaji wake bila kujari wao watakufa na kusahau kwamba kuna Mungu....
Wafanya biashara wanafanyiana figisu figisu ili mwenzie aanguke yeye aendelee kuwa juu mfano kwenye insue ya kupotea kwa Mo kuna mfanyabiashara mkubwa alikuwa akiomba apotee jumla....
Wafanyabiashara na watu wenye makampun wanawafanyisha kazi ngumu wafanyakazi wao kwa malipo kidogo ili waendelee kuwa watumwa kwao bila kujali kwamba kuna Mungu na wote tutaenda na mali kuziacha duniani......
Angalia maisha ya wasanii walio imba zaidi ya miaka 20 maisha yao wengine wanatafuta kukodi vijigari vyetu mtaani ili wasipate aibu uko waendako halafu leo hii tunakuwa wanafiki kusema ukweli kwamba pamoja na ukweli kwamba jamaa alibuni watu waimbe ila plan yake ilikuwa jinsi gani atapiga pesa kupitia wasanii wasio na shule haya sasa kifo icho hakina saa wala dakika .....
Tuache unafiki hawa ni moja ya wanyonyaji wakubwa wa wasanii mimi uwa naumia sana kuona mtu anakufa tunajifanya kumuonea huruma wakati ukweli tunaujua
Uwa pia naumia kusikia msanii kafa halafu tunaomba michango ya hali na mali kama kwa Ngwea na Godzilla inaniuma sana....
Najua mimi pia kuna vingi nimeshafanya vibaya lakin kiukwel uwa napenda sana kuwa mkweli mimi nachukia mtu anayetumia mgongo wa mwingine hasa asiye na elimu kupiga pesa au kujipatia utajiri au kujipatia mtaji wa kisiasa uwa inaniuma sana napenda sana JUSTICE
ingawa inauma kusema ukweli lakin ndio ivyo watu hawa na wengine wanaendelea wamesababisha maisha ya wasanii kuwa hivi yalivyo kwa kutumia nguvu ya media....
Wasanii wengi wanajua lakini wanakuwa wanafiki hongera kwa Lady J Dee na Platinums kwa kukubali kujitoa kusimama wenyewe maendeleo yenu tunayaona......
Ruge Mungu amlaze panapositahili
Tujiandae muda wowote tunaenda tusifanyie watu vitu vibaya tu, tusiwe na viburi, tusitumie elimu zetu kuwazamisha wasio soma tupendane.
R.I.P Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app