Tribute to Dennis Busulwa (Ssebo), Aliiheshimu Sana TCRA na Kuiita Baba! Alitamani isiitwe Mamlaka ya Udhibiti, iitwe Mamlaka ya Ulezi wa Utangazaji!

Tribute to Dennis Busulwa (Ssebo), Aliiheshimu Sana TCRA na Kuiita Baba! Alitamani isiitwe Mamlaka ya Udhibiti, iitwe Mamlaka ya Ulezi wa Utangazaji!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,721
Wanabodi

Leo tumemuaga mwana tasnia ya habari, Dennis Busulwa kwa jina maarufu la Ssebo

Hii ni Tribute yangu to Dennis Busulwa (Ssebo), aliiheshimu sana TCRA na kuiita Baba!. Alitamani TCRA isiitwe Mamlaka ya Udhibiti, iitwe Mamlaka ya Ulezi wa Tasnia ya Utangazaji!, na kuiita Baba Mlezi wa Watangazaji.


View: https://youtu.be/bjgsGzqpSyo?si=61Pu7B1HSNqEk2hZ

RIP Dennis Busulwa Ssebo

Paskali
 
Wanabodi

Leo tumemuaga mwana tasnia ya habari, Dennis Busulwa kwa jina maarufu la Ssebo

Hii ni Tribute yangu to Dennis Busulwa (Ssebo), aliiheshimu sana TCRA na kuiita Baba!. Alitamani TCRA isiitwe Mamlaka ya Udhibiti, iitwe Mamlaka ya Ulezi wa Tasnia ya Utangazaji!, na kuiita Baba Mlezi wa Watangazaji.


View: https://youtu.be/bjgsGzqpSyo?si=61Pu7B1HSNqEk2hZ

RIP Dennis Busulwa Ssebo

Paskali


Mungu ampe pumziko jema
 
TCRA wazee wa ithibati
No TCRA sio wazee wa Ithbati, hawa ni Mamlaka ya uthibiti wa vyombo vya utangazaji na online, halafu bodi ya Ithbati ni Mamlaka ya uthibiti wa waandishi wa habari.

Ukifanya kosa la utangazaji, bodi ya Ithbati inakupiga rungu la utosini, kisha TCRA nao wanashusha rungu lao!, mtu unahukumiwa mara mbili kwa kosa moja.

P
 
No TCRA sio wazee wa Ithbati, hawa ni Mamlaka ya uthibiti wa vyombo vya utangazaji na online, halafu bodi ya Ithbati ni Mamlaka ya uthibiti wa waandishi wa habari.

Ukifanya kosa la utangazaji, bodi ya Ithbati inakupiga rungu la utosini, kisha TCRA nao wanashusha rungu lao!, mtu unahukumiwa mara mbili kwa kosa moja.

P
Mi nilidhani TCRA wanadili na media halafu bodi ya ithbati wanadili na mtangazaji kama mtangazaji anamiliki hiyo media basi bodi na TCRA wanashugulika nae kumbe Kumbe TCRA wanasogeza pua hata kwa mtangazaji ambaye hamiliki media hili ni tatizo.

Ila tatizo kuu ni TCRA na bodi kutumika kuwashugulikia wanahabari wanaotoa habari zisizopendwa na serikali.
 
No TCRA sio wazee wa Ithbati, hawa ni Mamlaka ya uthibiti wa vyombo vya utangazaji na online, halafu bodi ya Ithbati ni Mamlaka ya uthibiti wa waandishi wa habari.

Ukifanya kosa la utangazaji, bodi ya Ithbati inakupiga rungu la utosini, kisha TCRA nao wanashusha rungu lao!, mtu unahukumiwa mara mbili kwa kosa moja.

P
Kama ulivyopigwa wewe mzee wa kota za drive in 😄
Au umeruka kiunzi mzee mzima

Ova
 
Mi nilidhani TCRA wanadili na media halafu bodi ya ithbati wanadili na mtangazaji kama mtangazaji anamiliki hiyo media basi bodi na TCRA wanashugulika nae kumbe Kumbe TCRA wanasogeza pua hata kwa mtangazaji ambaye hamiliki media hili ni tatizo.
Bodi ya Ithbati ina deal na Mwandishi na mtangazaji mwenye kitambulisho chao, Press Card, hivyo ukifanya kosa, JAB inakushukia kwa kosa hilo kupitia sheria ya habari, ya mwaka 2016, iliyochini ya wizara ya habari, lakini kwa kosa hilo hilo, TCRA nayo kupitia sheria ya utangazaji na online contents iliyo chini ya wizara ya mawasiliano nayo inapiga rungu kituo chako. Ukiwa ni mtangazaji mmiliki wa media, unakula marungu mawili ya utosi kwa kosa moja!.
Ila tatizo kuu ni TCRA na bodi kutumika kuwashugulikia wanahabari wanaotoa habari zisizopendwa na serikali.
Hii mimi nimeita ni TCRA na JAB kufanya uchawa!.
P
 
Naomba nitofautiane na mwendazake ingawa hayupo tena...ila katika hili alikuwa chawa.
Naamini alimaanisha baba na sio Baba.
Hakuna Baba Lofa... hakuna!
Ukweli na usemwe wazi hata kama haupendwi...majority ya taasisi za serikali zina watendaji primitive na wachimba chumvi...yaani ukijumlisha na uchawa ndio zinakuwa takataka kabisa na wewe Pascal unajua hilo vizuri sana.
Siku zote utawasikia na Lugha yao wanayoigana eti..."tunamsaidia Mh Rais" lakini in fact majority ni useless!..
Prof Mkenda aliwahi kutoa neno moja kwamba ni muhimu kujenga "meritocratic society "...sasa tazama hao watu kwenye hizo taasisi...
Kuna hii bodi ya ithibati..look at them na wanayofanya...takataka tupu...ni kundi la malumpen tu....utajikomba mpaka lini?...
 
Nkirudi nyumbani ntakuja
Kukujulia hali najuwa tukionana utacheka sana
For the mean time acha twende hivi hivi mzee wa kota za drive in

Ova
Kwa vile nimekulia mafletini pale Drive In mtu yoyote anayelijua hilo, then, ananijua tangu nikiwa mtoto!.

Most welcome

P
 
No TCRA sio wazee wa Ithbati, hawa ni Mamlaka ya uthibiti wa vyombo vya utangazaji na online, halafu bodi ya Ithbati ni Mamlaka ya uthibiti wa waandishi wa habari.

Ukifanya kosa la utangazaji, bodi ya Ithbati inakupiga rungu la utosini, kisha TCRA nao wanashusha rungu lao!, mtu unahukumiwa mara mbili kwa kosa moja.

P
Pascal, ni kweli kuna namna fulani ya upotoshaji ambao unaweza kuwa wa makusudi au usio wa makusudi kuhusiana na matumizi ya haya maneno ya hizi taasisi. Kwa kiingereza ni rahisi sana - Regulatory Authority. Lakini unapoitafsiri "Rugulatory Authority" kuwa mamlaka ya kudhibiti katika context ya TCCRA, inakuwa sio sahihi.. Kwa maoni yangu neno linalofaa ni "Kusimamia"

Hata hivyo, katika context ya sheria, kwa mfano, Media Regulatory Framework, basi inakuwa sahihi kutumia neno kudhibiti - kwa sababu hapo msingi ni kufuata sheria kama ilivyoandikwa, bila kuwa na flexibility yeyote.

Hivyo basi, vyombo kama EWURA, TCCRA nk, kwangu ni vyombo vya Usimamizi na sio Udhibiti.

Lakini ukiwa na vyombo kama Competition Commission, Anticorruption Agency kama TAKUKURU - hivi ni vyombo vya Kudhibiti
 
Back
Top Bottom