Treni ya shirika la reli (TRC) inayofanya safari mikoa ya kaskazini yakwama maporini huku abiria wakikosa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.
Treni hiyo iliyotoka Dar jana mchana kwenda Arusha ilitarajiwa kuwasili Moshi asubuhi saa 12 leo. Ila mpaka sasa imekwama katikati ya Korogwe na Same. Mamlaka ziwaonee huruma abiria wawapelekee mabasi yawafikishe kwao.
Kuna abiria wengine ni wagonjwa wa kisukari n.k wanapata tabu sana.
Treni hiyo iliyotoka Dar jana mchana kwenda Arusha ilitarajiwa kuwasili Moshi asubuhi saa 12 leo. Ila mpaka sasa imekwama katikati ya Korogwe na Same. Mamlaka ziwaonee huruma abiria wawapelekee mabasi yawafikishe kwao.
Kuna abiria wengine ni wagonjwa wa kisukari n.k wanapata tabu sana.