Hatari nyingine tena.
Hivi suala la mawasiliano kwa nini linapuuzwa? Ni kwa nini treni mbili zigongane? Ama ndo kusema kuna njama imepangwa?
Asikufiche mtu maximum speed ni 50km/h kwa maeneo mazuri ambayo yako sehemu za Tabora tu. Sehemu nyingine max speed ni 30kph. Kwa kuangalia tu kanuni za mwendo na fatality za ajali utagundua kuwa mambo yanaenda kienyeji mno.
Kwa nini watanzania tunauana???
Hii ni serikali ya kuhuni sana ,samahani naomba mwongozo hivi mtu akipanga kupinduwa nchi anakuwa na makosa??
kwa kweli ni uzembe wa hali ya juu, na hili watu wanaweza kuanza kumlaumu Mwalimu
Jamani mbona sielewi,zimegongana katika mazingira gani?inamana zote husafiri kwa wakati mmoja?ina maana hakukuwa na mawasiliano? Au ndo yale yale ya Tanzania yetu... UZEMBE!!!