TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,720
- 10,220
Ilikuwa ni majira ya saa tatu asubuhi treni ya abiria iliondoka katika stesheni ya Kigoma Mjini, eneo la Kibirizi mabehewa matatu ya nyuma yaliacha njia na kuelekea eneo la Ardhi.
CCM imeharibu kabisa taifa letuWatanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.
Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.
Tuwape waarab wa Dp watusaidieWatanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.
Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.
Mimi kuna Muha nampenda ha JF, natamani awe wangu mwandani. Au Kigoma Region Tanzania mnasemaje, si itapendeza nikiwa Shemeji yenu?HIi id yako na mada zako nilihisi tu wewe ni muha
Kusimamia inawezekana kabisa shida ni vibaraka wa CCM. Hii nchi CCM ikichorewa mipaka hamna kitu kitakwenda fyongoWatanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.
Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.
Waarabu hapana, watafaidika waislam.Tuwape waarab wa Dp watusaidie
CCM kama kuna Waislam wengi kule basi naunga mkono hoja yako, wao ndiyo tatizo.Kusimamia inawezekana kabisa shida ni vibaraka wa CCM. Hii nchi CCM ikichorewa mipaka hamna kitu kitakwenda fyongo
NAKAZIAWatanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.
Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.
Tena yule Nyerere sijuwi kwanini hajaiwacha TANU? Kwanini alituletea CCM?CCM imeharibu kabisa taifa letu
Nchi iko chini ya TEC? Kumbe Samia ni mla kitimoto?Waarabu hapana, watafaidika waislam.
Tuwache iendelee kuwa chini ya TEC.
Samia ni zao la kazi ya Mungu haina makosa.Nchi iko chini ya TEC? Kumbe Samia ni mla kitimoto?
Mama Samia kishasema, ukiuwa shirika, ufe nalo.Hapa Nimpango tu kulivuruga Shirika
Watanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.
Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.
Mataruma yanaonekana hayana kokoto, uzembe.View attachment 2786721Treni iliyokuwa ikitokea Kigoma kuelekea jijini Dar es Salaam imepata ajali mita chache kutokea stesheni ya mkoa wa Kigoma ambapo mabehewa matatu kati ya 14 yaliyokuwa yamebeba abiria yameacha njia katika eneo Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma.
View attachment 2786720
Ilikuwa ni majira ya saa tatu asubuhi treni ya abiria iliondoka katika stesheni ya Kigoma Mjini, eneo la Kibirizi mabehewa matatu ya nyuma yaliacha njia na kuelekea eneo la Ardhi.
View attachment 2786722