benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa kuufahamisha umma juu ya kusitishwa kwa huduma ya usafiri wa treni ya abiria inayotoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya bara (Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma, Tabora, Mwanza, Mpanda na Kigoma) kuanzia tarehe 28.03.2023.
TRC imesitisha utoaji wa huduma kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali nchini na kupelekea daraja kusombwa na maji kati ya stesheni ya Godegode na Gulwe, wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma.
Huduma ya treni inatarajia kurejea siku ya Alhamisi tarehe 30.03.2023.
TRC imesitisha utoaji wa huduma kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali nchini na kupelekea daraja kusombwa na maji kati ya stesheni ya Godegode na Gulwe, wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma.
Huduma ya treni inatarajia kurejea siku ya Alhamisi tarehe 30.03.2023.