Jana nimesafiri safari ya zaidi ya km 300 lakini sijaulizwa chochote na traffic, kuna mmoja nilimpita kasimama karibu na centreline nilivyokaribia akawahi kunipisha nikabaki na shangaa leo na kismati gani
Kuna haja ya kufanya survey na kuleta mrejesho. Jamaa hawa walitesa sana watu. Kuwa na gari ikawa kero!
Sasa hivi Kitimoto na wenzako mwagilieni mioyo bwawa limeingiwa luba!