Imussa174
Member
- Sep 27, 2014
- 52
- 6
Ni baada ya kusababisha ajali.
![]()
Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.
Aligonga? au aligonganisha? unapoleta umbea wako jaribu kuukamilisha.
Ni baada ya kusababisha ajali.
![]()
Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.
Hata sikuchukua... ni wa pale ubungo alikua mwanaume na mwanamke huyo mwanamke ndio akawa anasema hayo ya kutubambikia kosa jingine tusipompa hela.
Una uhakika unachokinena? kama ndivyo cku nyingine unanakili namba zake za jeshi ili umfuatilie kwa hatua zaidi mkuu.
Walompiga ***** zao
Ipo siku akina, mkulu na mtoto wa mkulima watapewa kichapo kama huyu trafiki.
ulikuwa una tetemeka nini wakati unaleta habari?.Hapa wapi?
Wapigwe tu......... Leo asubuhi katusimamisha anaanza kudai ela
anaambiwa hela hakuna eti kama hakuna hela anaongeza kosa jingine
yule trafik aliniboa sana asubuhi..
Ni baada ya kusababisha ajali.
![]()
Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.
Mkulu aliwahi kukoswakoswa mawe pale Mbeya mwaka flani siukumbuki. Dharau zake pamoja na udhaifu wa kukenuakenua ndo vinasababisha mambo kama haya.
Aligonga? au aligonganisha? unapoleta umbea wako jaribu kuukamilisha.
Sio Mkuu wa Jeshi hilo peke yake anayewachukia trafiki bali ni watu wengi wenye kutumia barabara, naye akiwa mmoja wapo.
Kuna kero sana barabarani.Yani mtu akiwaona trafiki mbele yake anaona janga la kuchomoa hela zake.Yani ukisimamishw lazima hela itoke bila hata kosa.Ukiuliza kosa lako nini nini mbona unacheleweshwa basi inakuwa tabu kabisa.
Wakubwa wao wamefanya makusudi kuweka viwango vikubwa vya makusanyo kwa siku kwa kila trafiki ili wananchi wapige kelele na kitengo hiki cha kula rushwa rushwa kiondolewe kuepusha lawama zinazolichafua jeshi.
Nasikia kuna askari mmoja aliwahi kununua utrafiki kwa sh. 2,500,000/= kwa kukopa benki kabisa.Sasa sijui atazirudishaje.Wanawake wanaingia kwa rushwa ya ngono.
Hapo usitegemee mtu mwadilifu kama Mangu kukipenda kitengo cha namna hii.
Cha msingi ni kurudisha suala la barabara na matumizi yake kwenye wizara ya miundo mbinu yenye chuo cha usafirishaji.Polisi wabaki na misafara na road block kuzuia magendo.
Mwakyembe aunde chombo maalum kikichojaa wasomi wa vyuo mbalimbali hata kama atawachukua huko polisi lakini kisiwe na hulka za kijeshi na vitisho.
Mbona huko baharini na angani hawahusiki polisi kwenye kutoaadhabu zaidi ya kuimarisha ulinzi tu?
They tell me a weak king is much much worse than a stupid elephantUongozi Mpya wa taasisi ndogo kama Polisi utasaidia nini?
Yaani hujajua mpaka dakika hii tatizo liko wapi-Mkuu tembelea Magogoni labda utanong'onezwa udhaifu uko wapi!
Polisi hawana kosa muda mwingine ,unaweza kuta jamaa nyumbani hajaacha hata senti kwa ajili ya maandazi sembuze Mlo kamili ,alafu akina Sita wanachukua 300,000per day na bado wanataka za UKAWA unategemea nini kitatokea kwa askari.
Na hiyo haitoshiHow $270-million IPTL deal was planned and executed ...
Yote ya nini mpaka umkwide traffic! au umpige? kasababisha ajali basi ita askari mwingine apime ajali then mkatoe maelezo tumegongana sababu hii na hii.! na yeye ni binadamu ana mapungufu yake sio mnakurupuka wengine hapo ni ushabiki wa kijinga..!!
mi.siku.nikitoka.na gari.nasali.kabisa Mungu shusha mvua.nipite.na amani easy
kuna.siku walinikamata kawe darajani kilakitu kiko sawa akaingia ndani embu washa.redio yako nzima....musicheke ni live yaani nilicheka kabla kuwasha akaishia kuchukua sambusa za.royal oven zilikuwa pale.mbele
Ndio ni mtaji wa serikali...Hata mimi nimeepa iko siku nitakuja piga traffic tu hawa wadudu wameshatufanya sisi waendeshao magari kua ni mtaji!