Trafiki apigwa Ubungo mataa

Trafiki apigwa Ubungo mataa

Ni baada ya kusababisha ajali.


attachment.php

Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.

Kumpiga polisi aliye kazini ni kosa. Walofanya hivyo wajipange kuikabili sheria endapo itafuatwa.
 
Ungeweka hata maelezo kidogo ya jinsi alivyo sababisha hiyo ajali? Au bado mpo post mnamalizia kuandika maelezo?
 
Halafu sura ya traffic officer mwenyewe imekaa kilevi ni haki apigwe looks like aliingia kazini akiwa ameutwika
 
Kumpiga polisi aliye kazini ni kosa. Walofanya hivyo wajipange kuikabili sheria endapo itafuatwa.

Nadhani sheria inatakiwa kuwa reviewed, mbona wandishi wa habari wanapigwa hadi kuuawa wakiwa kazini na hatuoni hatua zikichukuliwa dhidi ya wahusika, the same law has to apply kwa hawa wala rushwa
 
Mavuno ndio hayo

Hii ni kwamba wananchi wamechoka na uonevu unaofanywa na askari

Huko tunakoelea hakuvutii kabisa

Ila sijui kama wanaona kuwa hizi ni dalili za wananchi waliochoka

Wana macho lakini hawaoni.Na masikio wanayo lakini hawasikii.
 
naona fuko la shati limejaa makusanyo...hiki kitengo kinalipa aisee
 
Jamaa licha ya kipigo, haliachii mkononi daftari la 'kuandikia' faini !!! Hela hizi!
 
Ni baada ya kusababisha ajali.


attachment.php

Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.
Ama kweli huu ni mwaka na mwezi kwa TRAfiki hapa Tanzania kwani kila uchao ni mwendo wa series za matukio ya trafiki. Il nao wamezidi kwa majanga inabidi wajitathmini na kwenda kutubu ili kupunguza munkari wa upanga wa moto unao wanyemelea. Kwani akumbuke zimwi likujualo halikuli ukakwisha...

Haya ni baadhi ya matukio yaliyohusu trafiki .
 
Last edited by a moderator:
Wapigwe tu......... Leo asubuhi katusimamisha anaanza kudai ela

anaambiwa hela hakuna eti kama hakuna hela anaongeza kosa jingine

yule trafik aliniboa sana asubuhi..

Mkuu, hukuchukua hata no yake ile ya kwenye uniform? Au kama vipi mtaje tu ni wa sehemu gani!
 
Ni baada ya kusababisha ajali.


attachment.php

Hapa akipakizwa kwenye bajaji kumuepushia kipigo zaidi.

Mkuu Mleta mada.

Binafsi picha nimeiona lakini haina maelezo.

Imekuwaje hadi kupewa kichapo.

Je alifumaniwa na yeye.

Je, ajali imekuwa ameisababisha vipi.


/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-/-
 
Hao jamaa wakikukamata katika 18 zao hawana msalie mtume tena kwa nyodo sana wanakwambia ulipe 30000 ambazo hata haziingii kwenye mfuko wa serikali na bado wanakunyanyasa utafikiri ni kosa kuwa na chombo cha usafiri, mbaya zaidi wanakupa notifications ambazo zimepitwa na wakati,FAKE, ukigoma unapewa choice au uache chombo chako cha usafiri mpaka utakapo pata hiyo chenji. hata ukiipata bado kuna usumbufu kukitoa chombo kilichozuiwa!! haki yao kipigo! naonga mkono kwa sana tu.
 
attachment.php



Kama namsikia huyo mwenye mwanya maneno yake hapo "mmezidi sana, mnajiona mko juu ya sheria, haya maisha na kila kitu, mnachojua nyie rushwa tu. Mbona mnamtetea huyo mwacheni tuendelee kumpa disipilini"
 
Bora hata hawa...huyo amechezea kichapoo😕😕😕
 

Attachments

  • 1413210925626.jpg
    1413210925626.jpg
    55.2 KB · Views: 614
Back
Top Bottom