GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 5,063
- 6,762
Hivi kweli wewe unaamini kuwa kuna sheria nchi hii?, nenda katafakari uone kama unachokitetea kina mantiki. taratibu watu wanahama kutoka kuwachoma vibaka wanaoiba kwa ajili ya njaa kwenda kwa vibaka wanaoiba ili kudumisha status zao. inatokea katika nchi zingine na taratibu inaingia TZ. Stay tuned.Kumpiga polisi aliye kazini ni kosa. Walofanya hivyo wajipange kuikabili sheria endapo itafuatwa.