TRA wanavyofunga biashara za wazalendo


Naona wameanzia walipoanzia 2015.
 
ukiona wanakimbili huko maana yake kuna loopholes za kukwepa kodi nakufanya biashara zisizo nyooka,wakibana na huko watakibia tena. ukinyooka TRA HAWANA HATA SHIDA NA WEWE
Ushawahi kufanya biashara na ukanyooka au unàfikiria tu.Tanzania inahitaji Tax Reforms aisee iyo haikwepeki kabisa ingia ndani ya mchezo ndio utajua.Kwenye makaratasi ya SHERIA za kodi utaona ni rahisi sana na utaona wafanyabiashara ni wazembe lakini kwa ground mambo ni tofauti kabisa kodi za Tanzania haziko transparent kabisa na pakujitetea hakuna.
 
ukiona wanakimbili huko maana yake kuna loopholes za kukwepa kodi nakufanya biashara zisizo nyooka,wakibana na huko watakibia tena. ukinyooka TRA HAWANA HATA SHIDA NA WEWE
Kurudi si leo. Halafu kwa nini ukiwa kama mkusanya kodi wa serikali kwa nini ukikose kilichopo kivuje kwa wafanyabiashara kukimbilia nje,huku ukijipa matumaini mfu kwamba watarudi?. Lini watarudi?. Kwa hiyo kwa muda wote unaowasubiria huoni kwamba unakosa?. Na ndio uamue kuwajazia kwa kuwaumiza waliobaki ili kuziba gape la waliokimbilia nje?. Mbona tunanyooka tu vizuri T.R.A. Na tulikuwa tunaenda nao tu vizuri. Ni miaka tu ya hivi karibuni tu ndio wameona wawalazimishe wafanyabiashara walipie zaidi ya biashara zao zilivyo.
 
Wametumwa hao na kinachofanyika kinafahamika vizuri sana. Sasa hivi mabeberu wamegoma kutoa hela kutokana na rekodi mbaya ya utawala bora na demokrasia. Hivyo kinachofanyika ni kupora hela za watu kinguvu. Rejea uporaji wa hela za Bureau de change.
comred Lisu alishatutahadharisha kwamba wafanya biashara kwa sasa wananyanganywa pesa zao benki kupitia kitu kinaitwa agency notes hatukumwelewa sasa tupambane na hali zetu kwa mi 5 tena
 
Walimfanyia hivyo SAPNA electronic akafunga biashara na kuuza eneo kwa MTU akajiendea marekani
 
View attachment 1650432View attachment 1650433

Mpaka sasa kashapoteza uhalali wa malalamiko yake. Kweli waafrika wabinafsi sana. Ili ujue maumivu ya wengine mpaka yakupate wewe
Una matatizo ya kimsingi, na pengine hata uwezo wa kudadavua kwako ni duni kiasi.
Kwamba nashabikia chama tawala haina maana kubariki madudu ya watendaji.
Na unajaribu kuingiza siasa uchwara mahali pa kutumia akili ya kiutendaji.
Kama umesoma Mzumbe tukupe pole tu.
 
Nakumbuka haya Mambo yalimkuta. Kaka yangu. Yalitafutwa makosa ya kiuhasibu ya miaka 5 iliyopita, ilipaswa kulipa 150m, kwenda kule TRA, kurekebisha walihitaji 20m.

Kama hujawajua TRA unaweza dhani wanapakaziwa, ni watu hatari Sana Aisee. Unafunga duka huku unaona
 
Ushauri: Mtu yeyote asifanye biashara yenye mkono/uhusiano wa TRA wala kusajiliwa na TRA.

Inabidi pawe na uzi wa orodha ya biashara mbalimbali ambazo hazihusiani na TRA wala ukiifanya hiyo biashara hauhitajiki kusajiliwa na TRA.
TRA watausoma watatafuta namna ya kupenyeza kodi
 
Hata mimi pia nategemea kufunga biashara yangu mwezi huu wa 12 kutokana na mazingira magumu ya biashara, ikiwemo kodi isiyolipika, mazingira ya rushwa toka kwa baadhi ya watendaji wa serikali hasa maafisa Afya.
 
Asante kwa kuleta mfano hai mkuu.
Kuna watu wanafikiri tunaleta majungu kumbe mifano hata mikoani ipo.
Ukiona mtu kajitoa fahamu kuwatetea TRA kufunga Account kufunga biashara ujue moja kwa moja ni mnufaika wa uonevu wa TRA au ni Ofisa wa TRA kinara wa huo uonevu wa kuwabambikia kodi wafanyabiashara
 
Wanaivuruga kwa manufaa yao binafsi ( Rushwa)
 
Ndio elimu hii , na mnakubali kabisa kufundishwa huu ujinga

1. Kama mfanyabiashara sii mlipa kodi, kwann watu wa kodi wanamfuata, kwann wasimfute mhusika moja kwa moja?

2. Kama yeye si mlipa kodi, kwann kodi hizo zinaondoka hadi na mtaji wake na kuua biashara na kumwacha na madeni?

3. Kama yeye sii mlipa kodi hiyo, kwann hiyo pesa ikiondoka anai feel kwenye mzunguko wake wa pesa kwamba kuna kitu kimepungua??

Acheni kujificha kwenye vichaka vya ajabu ajabu, wekeni mfumo sahihi wa ukusanyaji kodi, kateni kodi za halali sehem halali
 
WAO HAWAWEZI KUSHITAKIWA KWA KUWAMBIKIZA/KUGUSHI? IFIKE MAHALI TUWE WAWAZI NA WAKWELI! TRA NI MUMIANI.
 
Ushauri: Mtu yeyote asifanye biashara yenye mkono/uhusiano wa TRA wala kusajiliwa na TRA.

Inabidi pawe na uzi wa orodha ya biashara mbalimbali ambazo hazihusiani na TRA wala ukiifanya hiyo biashara hauhitajiki kusajiliwa na TRA.
WATAANZISHA MPANGO WA "KUWATAMBUA NA KURASIMISHA" BIASHARA ZISIZO RASMI. KILA MMOJA ATAONJA KIKOMBE HICHO!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…