macklisious_
Member
- Apr 15, 2016
- 40
- 12
Mkuu chumba namba 27
Eeeeeee kumbe kweli?????
Mkuu chumba namba 27
Kutoitwa wewe sio kigezo cha kutoitwa mwingine, pia nawe ikifika zamu yako utapigiwa
HONGERA SANA, Kwani umeitwa kwa position gani? nataka nijue kama wanaita kwa position position na sio random mana jana watu wengi walioitwa walikua wa position ya taxSasa hapa nimeamini. Nimepigiwa simu muda si mrefu.
Namba hii hapa 0222117327 mdada anasema Mafunzo yanaanza tar 16 May Jtatu chuo cha Kodi. Tafadhali kama unaenda Toi beba simu yakoooo .......
Mungu anisaidie nisiende kuwa Jipu.
Hongera kwa kuitwaSasa hapa nimeamini. Nimepigiwa simu muda si mrefu.
Namba hii hapa 0222117327 mdada anasema Mafunzo yanaanza tar 16 May Jtatu chuo cha Kodi. Tafadhali kama unaenda Toi beba simu yakoooo .......
Mungu anisaidie nisiende kuwa Jipu.
HONGERA SANA, Kwani umeitwa kwa position gani? nataka nijue kama wanaita kwa position position na sio random mana jana watu wengi walioitwa walikua wa position ya tax
Mim naamini bado wanapiga simu sidhani kama wamemaliza...sory bado wanapiga sim au wameshamaliza
Mim naamini bado wanapiga simu sidhani kama wamemaliza...
aiseeeee haya Namwachia Mungu Nilianza kuonyesha kiburi kwa wahindi sasa ngoja nirudishe adabu lasivyo ntanyooka