TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

Taarifa hizi ni za ukweli?, zisije kuwa za uongo watu tukapoteza mda kwenda hadi bunju
Habari hizi ni mkanganyiko sana! Au kazi imekua ngumu kwa nbaa ndo mana wamechelewa
 
Habari hizi ni mkanganyiko sana! Au kazi imekua ngumu kwa nbaa ndo mana wamechelewa
Kumark karatasi za watu zaidi ya 500 si kazi rahisi na inahitaji umakini wa hali ya juu ili kila mtu aweze kupata haki yake.
 
Mi najiandaa na ORAL, Wabandike, wasibandike tutaonana huko huko. Labda waweke kwenye web alaf nione nimefeli.
Najua nilichosoma nitakua nimeongeza udambwi dambwi kichwani. Sasa ukikaa kusubiri majibu alaf yakatoka saa nne upo kwenye kuangalia Madrid anavyotoka jasho la Meno unadhani utapata wapi muda wa kunyoosha tai.....
 
Mi najiandaa na ORAL, Wabandike, wasibandike tutaonana huko huko. Labda waweke kwenye web alaf nione nimefeli.
Najua nilichosoma nitakua nimeongeza udambwi dambwi kichwani. Sasa ukikaa kusubiri majibu alaf yakatoka saa nne upo kwenye kuangalia Madrid anavyotoka jasho la Meno unadhani utapata wapi muda wa kunyoosha tai.....
Sawa unajiandaa mkuu! Inafanyikia wapi na saa ngapi?
 
Sawa unajiandaa mkuu! Inafanyikia wapi na saa ngapi?
Hili sasa tatizo. Ila hainizuii kujiandaa, acha nile msuli. wale washenzi wanaita kada tofauti tofauti alaf mizigo wanayotoa ni balaa.......Ngoja nizame zaidi mpaka saa saba usiku nitakua nishajua kama wanafanyia Bunju, TRA, NBAA MHASIBU HOUSE, HOTEL KEMPISK, LANDMARK au Holiday Inn. Najiandaa tu Mkuu
 
Aliekaribu na nbaa house town naskia wamebandika town aisee
 
Taafifa za kusikia si rasmi na huwa zinapotosha wakati mwingine. Ni bora kuwa na uhakika kabla ya kutoa taarifa.
 
Back
Top Bottom