Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,406
Watu walishaanza kutopeleka pesa zao benki.Hawa TRA wanapoelekea sasa ni too much, watu wataogopa kufanya kila kitu nchi hii mbona uchumi utakufa kabisa, na pesa zao wataondoa benki.
Serikali wanavyofanya ni unyan'ganyi, mnawatisha sana hawa watu.