Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
KWELIIIIIIIIII KABISA KWELIIII TUPUBado wabeba mizigo nao wajiandae
Au nasema uongo ndugu zanguu
Mitanontena
MAENDELEO YANA CHAMA CHAKE ILA SIO CCM!!!
KWELIIIIIIIIII KABISA KWELIIII TUPUBado wabeba mizigo nao wajiandae
Au nasema uongo ndugu zanguu
Kodi Ni muhimu lakiniJiwe kaifirisi nchi sasa atakusanya mpaka matiti tax
TRA inahusika na kukusanya KODI YA MAPATO! Mkulima hana mapato? Hastahili kulipa kodi? Mbona mnajaribu kulifanya suala hili kama vile ni TABOO kwa mkulima kulipa kodi? Halafu mnavyolishabikia utadhani Serikali INAWAONEA WAKULIMA. Uzuri ni kwamba wakulima nao wanajua umuhimu wa kodi na kama wana kipato chochote, basi nao wanastahili kuchangia kwa njia moja au nyingine kwenye suala la kodi kwa ajili ya maendeleo yetu.
Mtajaribu sana kuwachochea wananchi dhidi ya Serikali yao, lakini hamtaweza, kashindwa Lissu na Bob, mtaweza nyie!? Watanzania hawa kwa sasa, baada ya kumsikiliza sana Lissu kwa siku 60 za kampeni, sasa wanajua MBIVU NA MBICHI, siyo rahisi kuwachanganya.KWELIIIIIIIIII KABISA KWELIIII TUPU
Mitanontena
MAENDELEO YANA CHAMA CHAKE ILA SIO CCM!!!
Umesema kweli kabisa na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Baada ya matajiri kuisha sasa ni zamu ya wanyonge kulipa kodi na kufilisiwa. Kwani nasema uongo ndugu zangu?
Hapa kuna Mkono wa siasa umeingia inaonekana huyo Mkulima ni ANT GOV sasa wameamua kumuonyesha makali na hapo atapigiwa hesabu za kumfirisi.Umenena vyema japo wapo wakulima wa aina nyingi. Huwezi kusema sumry Ncha Kali aliyelazimika kuachana na biashara ya mabasi akaingia ktk kilimo hana uwezo wa kusubiri bei!!!!! Vivyohivyo kwa mtoto wa mkulima mr kayanza.
Huyo unaye ona kalimwa barua ujue TRA wamesha fuatilia mwenendo na wanajua anaendeshaje kilimo chake. Tusicho kijua ni kwamba huwenda pia wamesha nusa mamilioni kwenye account yake.
Kumbuka hao jamaa hawajihangaishi bila kunusa kuwa mahala fulani wanaweza kupata chochote. Ukisha sikia kaambiwa miaka mitatu ujue mamilioni yanamhusu.
Kumbuka ya st. Jude school.
Bwana Bure HayupoNasikia wakikukuta na nyanya ndoo tatu una safi risha wana kuambia una safi risha mazao ya kilimo bila stakabadhi sio nyanya ndoo 3 ni mazao ya kilimo una hujumu uchumi 😂
Jamaa alishasema awamu hii sio ya laha 🤣🤣🤣Hata mwaka haujaisha majuto kila sehemu.
Hapo anajiandalia mizigo ya kustaafu nayo.
Wakulima wa Kiwango cha Standard Guage 🤣🤣🤣Ni wakulima wa kiwango gani wanatakiwa na TRA?
Imekosa moja tu uongozi bora.Ili Tanzania Iendelee Inahitaji
Watu, ardhiSiasa Safi,Uongozi Bora
Tumechelewa Sana Ndugu ZanguImekosa moja tu uongozi bora.
Wakoloni walituletea maendeleo kiherehere cha kina Nyerere ndio kimetuletea ufukara
Maendeleo yepi alikuletea mkoloni, nna mashaka na elimu yako hasa upande wa somo la historiaImekosa moja tu uongozi bora.
Wakoloni walituletea maendeleo kiherehere cha kina Nyerere ndio kimetuletea ufukara