TRA wagonga hodi kwa Wakulima

TRA wagonga hodi kwa Wakulima

Kama ni shamba la uwekezaji na kuna wafanyakazi walioajiriwa, huyo mwekezaji anastahili kulipa kodi kwani litakuwa linaingiza mapato.

Halafu issue ya kodi hata mkulima anatakiwa kulipa kodi ili mradi tu awe anaingiza mapato.

Hapo nipo pamoja na TRA.

Wajitahidi kutoa elimu ya kutosha ya kodi na kubuni vyanzo rafiki vya kodi ili tuinue uchumi wetu.
 
Nilitarajia hili baada ya biashara kwenda ahera sasa zamu ya wakulima. Ila huku kuna multiple issues to be considered, the government should be careful.
 
Ieleweke tu kwamba hakuna jiwe litasimama bila kugeuzwa....


Kuna Wakenya waliingia Karatu, Babati na Mbulu kupitia wazawa wanaojiita wakulima wakubwa wa maeneo hayo, wanalima maharage kwa wingi na kuyahamishia Kenya. Inawezekana kabisa mchakato haujakaa sawa

Maendeleo hayana vyama
 
Ndio maana tunasema Tanzania upinzani ulishakufa, hivyo hii nguvu mnayoitumia kuonesha wakulima wazalendo Watanzania kuwa wanaonewa na serikali yao, kwanini msingeitumia kuwaelimisha umuhimu wa kuchangia au kulipa kodi kwa moyo mkunjufu maana wao ni jukumu lao kujenga nchi sababu ni Watanzania na nchi haiwezi jengwa na na watu wa nchi jirani?
 
Ndo maana tunasema tanzania upinzani ulishakufa ,hivu hii nguvu mnayoitumia kuonesha wakulima wazalendo watanzania kuwa wanaonewa na serikali yao, kwanini msingeitumia kuwaelimisha umuhimu wa kuchangia au kulipa kodi kwa moyo mkunjufu maana wao ni jukumu lao kujenga nchi sababu ni watanzania na nchi haiwezi jengwa na na watu wa nchi jirani?
Wewe umeshindwa nini kuelimisha hao wakulima, mbona mpo wengi kuliko sisi mmeshinda 80% na bado mnalilia support ya wachache.
 
Back
Top Bottom