TRA wagonga hodi kwa Wakulima

Magufuli hana cha kupoteza kwani anajua fika kuwa hawakumpa kura na bado ndiye Rais hivyo anaweza akawafanya anavyotaka na bado msimfanye chochote.

Kila mkulima kijijini baada ya mauzo lazima atalipa kodi ya mapato hasa kuanzia mwaka kesho na bila ya kuwasahau wenye nyumba za kupanga.

Hilo silo tatizo, tatizo ni pale hayo mapato yatokanayo na jasho la wananchi yatakapotumiwa kwa matakwa ya Magufuli mwenyewe pasipo kuzingatia mahitaji ya hao wanaokamuliwa. Ndio utawala wa kiimla ulivyo na sifa zake.
 
Umenena vyema japo wapo wakulima wa aina nyingi. Huwezi kusema sumry Ncha Kali aliyelazimika kuachana na biashara ya mabasi akaingia ktk kilimo hana uwezo wa kusubiri bei!!!!! Vivyohivyo kwa mtoto wa mkulima mr kayanza.

Huyo unaye ona kalimwa barua ujue TRA wamesha fuatilia mwenendo na wanajua anaendeshaje kilimo chake. Tusicho kijua ni kwamba huwenda pia wamesha nusa mamilioni kwenye account yake.

Kumbuka hao jamaa hawajihangaishi bila kunusa kuwa mahala fulani wanaweza kupata chochote. Ukisha sikia kaambiwa miaka mitatu ujue mamilioni yanamhusu.

Kumbuka ya st. Jude school.
Huyo jamaa kuna mahela yako benki Sasa wanatafuta sababu ya kuzipiga. Si ajabu mpaka sasa akaunti zmeshapigwa block.
 
Naona wafanyabishara wengi Sasa hawatatumia bank kufanya transactions.. Ni mwendo wa kurundika pesa ndani yaani huyo utakuta wameona bank account inasoma mkwanja mkubwa.
 
Kwa Mara kwanza leo gari iliyopakia mahindi toka songea kwenda nachingwea imekamatwa na TRA inadaiwa risiti ya EFD aliyolipia mahindi.imetokea tunduru.
 
Hawa TRA wanapoelekea sasa ni too much, watu wataogopa kufanya kila kitu nchi hii mbona uchumi utakufa kabisa na pesa zao wataondoa benki.

Serikali wanavyofanya ni unyan'ganyi, mnawatisha sana hawa watu.
Mjini TRA imekuwa kero pesa nyingi zinaishia mifukoni mwa watendaji wa TRA Serikali haipati kitu na sasa TRA wanahamia kwenda kuiba pesa za wakulima lakini uchumi wa Nchi uvurugike
 
Naona wafanyabishara wengi Sasa hawatatumia bank kufanya transactions.. Ni mwendo wa kurundika pesa ndani yaani huyo utakuta wameona bank account inasoma mkwanja mkubwa.
Kama ya mr kuku jiulize walikuwa wapi wakati anafanya matangazo kabla hajafikisha B1 kwa nini walisubiri zifike B5?
 
Labda na huyu wameshachungulia accounts zake wameshaona salio. Afanye chap ahamishe hiyo hela maana atakwenda kutupwa ndani na accounts zitazuiliwa.
Adi wana kuletea barua watakuwa wamesha ipiga pin
 
Kuna wadjinga wamekaa wana tuzoom tu. Na kugonga glasi cheers.
Wananchi wana tucheleweshea maendeleo. utasikia
 
Back
Top Bottom