TRA wagonga hodi kwa Wakulima

maendeleo yepi alikuletea mkoloni, nna mashaka na elimu yako hasa upande wa somo la historia
Elimu, afya Bora, miji, mabarabara, viwanda, mashamba ajira zilikuwa tele, biashara kilimo vililipa mkoloni hakuwa na shida na mwafrika kumiliki mali wapo weusi wengi tu walimiliki Mali bora tu ulipe Kodi Nyerere aliwakataza watanzania kumiliki Mali na kuzitaifisha kwa kuwaaminisha umasikini ndio uzalendo.

Tafuta historia halisi achana na sumu tulizopandikizwa kuhusu wakoloni kwa maslahi ya watawala walioaminisha watu tutakuwa zaidi kumbe wakaturudisha nyuma zaidi. Tuna KILA kitu lakini wameshindwa kubadili maisha ya watanzania.
 
Mkuu hivi unawafahamu wakulima kweli?Wakulima huuza mazao yao wakati mwingine yakiwa bado shambani.Hao wanaotunza stock ya mazao ni wafanya biashara au wachuuzi wa mazao.Mfano kule Kahama kuna wafanyabiashara wakubwa wanama godown ya kuhifadhi mpunga hata miaka mitatu wakisubiri bei ipande.

Wakulima wengi hawawezi kuwa na uwezo huo wa kuvumilia bei ipande
Sikweli wanaoweka magodown ni wakulima wanaifadhi ili wanasubiri bei zipande, mipunga ni ya wakulima hapo serekali inataka kuwazulumu wakulima watu wakimbili wapi.
 
Ndo madhara ya ujuaji. Hujui chochote kuhusu uchumi unajifanya mchumi hali kwako ni maabara.
Mchumi
.katu hawezi somesha watu namba
.ua sekta binafsi
.ua diplomasia
.ua demokrasia
.zuia mzunguko wa pesa
Ni Kama kujiniga tai shingoni.
 
Elimu,afya Bora,miji,mabarabara, viwanda,mashamba ajira zilikuwa tele, biashara kilimo vililipa mkoloni Hakuwa na shida na mwafrika kumiliki Mali wapo weusi wengi tu walimiliki Mali bora tu ulipe Kodi Nyerere aliwakataza watz kumiliki Mali na kuzitaifisha kwa kuwaaminisha umasikini ndio uzalendo.
Tafuta historia halisi achana na sumu tulizopandikizwa kuhusu wakoloni kwa maslai ya watawala walioaminisha watu tutakuwa zaidi kumbe wakaturudisha nyuma zaidi.Tuna KILA kitu lkn wameshindwa kubadili maisha ya watz.
Unanifurahisha sana kama ajira zilikuwa tele mbona leo kwao wana tatizo la ajira

Vingi ulivyoorodhesha hapo viliwezekana kwa sababu ya uchache wa watu.

Barabara zilikuwa chache sana nazo zilienda maeneo ya uzalishaji hivyo hivyo kwa afya na elimu.

Sera za ujamaa ndio ziliambatana na uporaji wa mali ila sera zina faida pia leo hii ardhi ingemilikiwa na Mo na manji tu Tanzania nzima
 
Elimu,afya Bora,miji,mabarabara, viwanda,mashamba ajira zilikuwa tele, biashara kilimo vililipa mkoloni Hakuwa na shida na mwafrika kumiliki Mali wapo weusi wengi tu walimiliki Mali bora tu ulipe Kodi Nyerere aliwakataza watz kumiliki Mali na kuzitaifisha kwa kuwaaminisha umasikini ndio uzalendo.
Tafuta historia halisi achana na sumu tulizopandikizwa kuhusu wakoloni kwa maslai ya watawala walioaminisha watu tutakuwa zaidi kumbe wakaturudisha nyuma zaidi.Tuna KILA kitu lkn wameshindwa kubadili maisha ya watz.
Vipi hutaki wakulima walipe kodi au unataka?
 
Kama ni shamba la uwekezaji na kuna wafanyakazi walioajiriwa,huyo mwekezaji anastahili kulipa kodi kwani litakuwa linaingiza mapato.

Halafu issue ya kodi hata mkulima anatakiwa kulipa kodi ili mradi tu awe anaingiza mapato.

Hapo nipo pamoja na TRA.

Wajitahidi kutoa elimu ya kutosha ya kodi na kubuni vyanzo rafiki vya kodi ili tuinue uchumi wetu.
Huoni wizi unataka kumkamua maziwa ng'ombe ambaye amekonda sosaadi ruzuku kwa wakulima zimeondolewa mazao yameshuka bei sasa mipunga tutaweka majumbani magodauni yatakua tupu tuonewa taenda kuchukua kodi wapi
 
unanifurahisha sana kama ajira zilikuwa tele mbona leo kwao wana tatizo la ajira

vingi ulivyo orodhesh hapo viliwezekan kwa sababu ya uchache wa watu.

barabara zilikuwa chache sana nazo zilienda maeneo ya uzalishaji hivyo hivyo kwa afya na elimu

sera za ujamaa ndio ziliambatana na uporaji wa mali ila sera zina faida pia leo hii ardhi ingemilikiwa na mo na manji tu tz nzima

Walijua kutumia rasilimali pesa vizuri ni lazima kwanza uboreshe maslahi ya uchache huo, uchache ungeongezeka kadri ya wengi wanavyoongezeka. Huwezi jenga miji, barabara, maji, elimu pasipo na watu.

Sera za ujamaa ni kwa sababu ya ujuaji na kutoambilika copy na paste we ni nani hadi ujue KILA kitu. Taifa lolote pasipo mashauri litaangamia copy na paste ya mawestone. Alishauri wa ujamaa utauwa uchumi akaleta ujuaji na kuwaweka watu jela, kuwakimbiza ukimbizini mfumo ulipomtupa akayaona makosa yake akaandika vitabu vya kukiri makosa yake.

Kama ardhi ikimilikiwa kwa uzalishaji mkubwa ikachochea kuingiza fedha nyingi za kigeni ikazalisha ajira tele shida ipo wapi kuliko kukaa tupu haizalishi huku watu wakiwa dhoofu Hali hata mlo tu ni shida. Ardhi wapewe wenye kuweza kuzalisha ili itoe ajira na kuleta pesa za kigeni nchi ipate pesa za kuhudumia masikini.
 
Madhara ya kusomesha watu namba ili wawe masikini ili watawaliwe upelekea kupungua kwa makusanyo ya Kodi. Unapochochea watu kufanya kazi kwa kuwatengenezea mazingira ya kutaka kufanya kazi zaidi upelekea kupata makusanyo makubwa ya Kodi ambazo utazitumia kukamilisha miradi yote mikubwa.

Huwezi zuia mito ikuleteayo maji ziwani then utegemee ziwa kujaa maji.
 
Uoniwizi unataka kumkamua maziwangombe ambaye amekonda sosaadi luzukukwawakulima zimeondolewa mazaoyameshuka bei sasa mipungatutaweka mjumbani magodauni yatakua tupu tuonewataendakuchukuakodiwapi
Msamaha aliopewa mkulima ni kutozwa ushuru kwa mazao yake chini ya tani moja tu, zaidi ya hapo ushuru kama kawaida mkuu kwani haiwezekani zaidi ya hapo bado tumwite ni mkulima mdogo.

Kwa nini hamtaki wakulima wanaolima kwenye large scales watozwe ushuru, nchi itaendeleaje sasa kama hata hao wakulima wakubwa hamtaki watozwe kodi na ushuru?

Tuwe wazalendo, nchi itaendelezwa na sisi wenyewe na si miujiza.

Serikali mnailaumu sana ila kwa hili naitetea.
 
Hawa TRA wanapoelekea sasa ni too much, watu wataogopa kufanya kila kitu nchi hii mbona uchumi utakufa kabisa, na pesa zao wataondoa benki.

Serikali wanavyofanya ni unyan'ganyi, mnawatisha sana hawa watu.
Mkuu denooJ ,sisi wenye beareu de change tulipolalamika kwa kuvamiwa na mitutu kama maharamia, Watanzania walisema sisi tunastahili kwa kuwa eti ni wezi.
Leo hii wanaguswa wakulima walalahoi, nao tuwaite kuwa ni wezi tuendelee kusifia uovu wa awamu hii!?
Kila mtu ashinde mechi zake.
Wakitoka kwa wakulima,wataingia kwa machinga kwamba kitambulisho ni 50K tsh kwa mwaka na chini ya mauzo ya milioni 2 kwa mwaka.
Wauza mkaa kodi.
Shoe shiners kodi.
Vinyozi kodi.
Wasusi kodi.
Warembeshaji kodi.
Mafundi ujenzi kodi.
Mafundi magari kodi.
Wahudumu wa bar kodi.
 
Back
Top Bottom