Ha ha ha...wewe ushawahi kutumia EFD machine? Ungekuwa mfanyabiashara ungejua kuwa kupata bei ya kitu including VAT unatakiwa kuzidisha kwa 1.18.Vat ni 0.18 na sio 1.18 ndugu, 1.18 mean 118/100 which is 118% badala ya 18%
NashangaaTayar huyu jamaa ni mchawi. Kwa roho hiyo duh hivi kwa Tanzania hii hii niwe mzalendo wa kulipa kodi ili iweje?
Ila cash ilitakiwa iwe 210,000/= badala ya 178,000/= iliyoonyeshwaHa ha ha...wewe ushawahi kutumia EFD machine? Ungekuwa mfanyabiashara ungejua kuwa kupata bei ya kitu including VAT unatakiwa kuzidisha kwa 1.18.
Yaani bei ya kitu bila VAT ni 100,000, ili kupata bei yenye VAT unazidisha na 1.18 yaani
100,000*1.18=118,000. Otherwise utatumia njia yako ndefu 100,000*0.18 halafu ujumlishe na 100,000 ndio upate 118,000! Sidhani kama umenielewa.
Kwa huyu mwenzetu kwa hesabu zako wewe
(178,000*0.18)+178,000=210,040
Shortcut 178,000*1.18=210,040
Yes kama ulisoma vizuri niliandika kasoro hapo ni kutokuonesha bei yenye VAT kwenye risiti.Ila cash ilitakiwa iwe 210,000/= badala ya 178,000/= iliyoonyeshwa
Alipokuwa hana majibu ulifanya nn ama umekuja kupost humu?Chukua risiti iliyo Halali.sasa hiyo ulichukua means ilikuwa halali kwako.Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Huyu jamaa inaonekana hesabati alipata Yai.before write anything hakikisha unachopost unauhakika nacho.Hajui mfumo wa hizo machine unavyofanya kazi,kakimbilia kupost humu.The machines start to do some computations from the VAT and then create subtotal and total amount.ASANTE KWANI UMEMUELIMISHA.Tena yeye kaiibia TRA kwan hajalipa hiyo tzs40Hajaiba chochote, labda tu mashine yake haijaonesha total include VAT
178,000 * 1.18 = 210,040
Akili yako na hiyo avatar yako iko sawa kabisa. Nakupuuza kwakuwa uko kundi la foolPuuzi jingine hili..kwani nikidai receipt ninanufaika na nini...or wewe ndo bashite mnaokula kodi zetu na lile jiziii linalojifanya limetumwa na mungu
Huduma zipi ambazo zimeshaboreshwa kwa kutumia hizi kodi zetu!?
Mkuu nakuunga mkono. Ni kheri tunufaishane tu wenyewe kwa wenyewe kuliko kuzikusanya halafu Chenge na Tibaijuka wanakuja tu kuzitwaa kiulaini kama unaoga vile.Kabla ya kununua kitu huwa namwambia kbsa mweny duka sihitaji risit ya EFD. Bora kodi ibaki kwa mwenye duka kuliko kunuwanufaisha bashite na baba yake.
Uzalendo ni kwa wazazi wangu na mke wangu + watoto.
Wewe umemlipa cash shilingi ngapi? Kama umelipa 178,000 hiyo VAT ipo sawa. Kama umelipa 210,000 basis kuna wizi hapo.Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Daah jamaa kama anamashine fake basi atasave lakini mpaka hapo ameshaingia kwenye nyavu 99%.Kuna mashine nyingine fake aiseee huenda asidakwe
Nyumbu ni wewe unayelipa kodi ili bashite akazitumbue na mahawara zakeAcheni ujinga fanyeni kazi mlipe kodi nchi isonge mbele manyumbu nyie
Bado unaamini kwenye laana mkuu miaka hii ya utandawazi.. Sema utarogwa ndio naamini... Nahizo laana mnazoziita ilikua ni kurogana sio kingineHeshimu sana wazazi, utalaaniwa bure kwa vitu vidogo.