TRA, wafanyabiashara wana temper na EFD machines

TRA, wafanyabiashara wana temper na EFD machines

Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
ili iweje kuiba tutaendelea kama vile sisi tunavyoibiwa na sisi tunaibaaaaaaa kama noma na iwe noma
 
Kwa hiyo usipodai receipt utanufaika na nini? haujui hiyo yote inaenda kwenye tumbo la huyo ambapo ingeenda kuboresha huduma za jamii.

Akili zingine bora ifike tu mahali muwe mnaazimishwa akili maana naona kuna watu wamewashikia akili zenu. Kwenye ujenzi wa uchumi wa nchi akili kama hizi tunaziita ni za kishenzi kabisa na za kipumbavu. Right ungekuwa unaishi nchi za ulimwengu wa kwanza unakula kifungo cha miezi kadhaa gerezani ukitoka akili imepunguza makengeza.
Si afadhali ale huyo jamaa kuliko ziende kule upande ule maana hata zikienda kule hazina faida na jamii
 
Big up tunahitaji wazalendo kama ww i wish wabongo wangekuwa kama ww kuliko kutukana matisu ambayo hayahitajiki....
kodi zetu zinatumika hovyo hovyo na kina bashite wanalindwa na kuzurura nji nzima kama miungu ilhal kuna kika mama wanajifungua na tochi hakuna madawa upuuz mtupu mimi nikipata upenyo naendelea kuiba tu ..........
 
Kwanza kodi zinatumika hovyo sana gap likipatikana nalala nalo mbele hata 900 itapendeza.
 
Mkuu hata ungefuta bas baadhi ya details kwenye hiyo risiti.... Myself kariakoo nilinunua bidhaa ya 220,000 risit ikaandikwa 110,000. Issue sio mashine ni wauzaji ndio wanaandika bei sio ili kupunguza kodi.
 
Huna elimu ya vat na efd. Pesa unazolipa ni vat inclusive.
 
Ni ujinga kushabikia mkwepa kodi lakini ni upuuzi zaidi kulaumu wafichuaji wa wakwepa kodi. Pengine inaonesha kuwa watanzania wengi ni irresponsible citizens.

Asante muanzisha uzi kwa kufichua hilo. Niliwahi lizungumzia humu hili suala. Tatizo ni kubwa zaidi ya TRA wanavyoweza kufikiri.
Wafanya biashara wengi hawapendi kutoa risiti na wakiona unahitaji risiti basi wanafanya uhuni wa kupunguza kiasi ama kwa kukuomba wapunguze amount uliyowalipa au wanapunguza bila kukitaarifu.
Watu wa ajabu sana aisee. Mimi sijubaliani na mambo mengi sana katika hii nchi. Lakini siwezi unga mkono ukwepaji kodi. Mimi na wale ''wanoko" (according to watu waliochangia huu uzi negatively) ambao ntadai efd receipt, na kama nikiibiwa kama siwezi kukaa kimya.
Huu ni upuuzi. Mleta uzi upo sahihi sana kufichua wakwepa kodi.
Mnawalaani kina lugumi afu hawa mnawachekea. Hakuna dhambi ndogo wala kubwa.
 
Aya ameniroga mama ako si ndio aliekufa?. We ni punguani mkubwa Tanzania hii nlipe kodi ili baba ako alieko serikalini aongeze kimada wa tatu?!!!.
Heshimu sana wazazi, utalaaniwa bure kwa vitu vidogo.
 
Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Mkuu nadhani hesabu za vat huzielewi. Kama ulitoa jumla ya tsh. 210,000 vat yake huwez kuipata kwa kutafuta 18% ya 210,000. Hyo 210,000 tayari ni vat inclusive.
 
Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Du mkuu unajionyesha jinsi ulivyopitwa sana na nahesabu ukiwa shule!!!
210,000 ni jumpla ya bei na VAT yake, sasa hapo bei halisi ni
210,000/1.18 = 177,966.10 (round up 178,000)

Kwa hiyo, bei ni 178,000 , VAT inay0takiwa kulipwa ni 18% ya 178,000!!!
Tafakari, penda hesabu!!!!
 
matatizo yanawafanya watu wawe wabunifu na wawe na akili nyingi, ukibana hapa wanapita pale, ukikomaa sana wanakutolea uvivu
 
Ni ujinga kushabikia mkwepa kodi lakini ni upuuzi zaidi kulaumu wafichuaji wa wakwepa kodi. Pengine inaonesha kuwa watanzania wengi ni irresponsible citizens.

Asante muanzisha uzi kwa kufichua hilo. Niliwahi lizungumzia humu hili suala. Tatizo ni kubwa zaidi ya TRA wanavyoweza kufikiri.
Wafanya biashara wengi hawapendi kutoa risiti na wakiona unahitaji risiti basi wanafanya uhuni wa kupunguza kiasi ama kwa kukuomba wapunguze amount uliyowalipa au wanapunguza bila kukitaarifu.
Asante kwa kuwa upande wangu, naona nimeshaanza kupewa names na IRRESPONSIBLE CITIZENS! Jamani nchi yoyote duniani inaendelea kwa kodi na less than 25% non-tax income. Tuwe wazalendo
 
Huko sahihi.

Nimeshangazwa na dhihaka waliyoionesha hapa. Hawa ndo wanataka umeme ufike vijijini, hospitali ziwe na dawa, shule ziboreshwe, huduma za maji ziboreshwe, barabara zikarabatiwe, mishahara ya wafanyakazi iongezwe, reli ya SGR ijengwe, umeme uwe wa uhakika lakini wakati huo huo hawataki kuona kodi stahiki ikikusanywa. Eti mfanyabiasha ana watoto wa kusomesha na kodi ya nyumba ya kulipia. Mbona hammtetei mwalimu, nesi na wafanyakazi wa kada zingine ambao makato yao hufanywa hata kabla hawajagusa hela yao? Mbona basi mfanyabiasha huyo huyo akwambii mgawane kiasi anachotaka kukwepa?
Wanapata wapi moral authority ya kudai serikali itimize wajibu wake wa huduma kwa jamii iwapo hawataki wengine walipe kodi stahiki?
Uzalendo wa kwanza ni kulipa kodi.
Ndio maana hata mimi inaniuma. Mi nalipa kodi STAHIKI kabla hata sijaishika hela yangu, na kipato changu ni way below ya hawa wafanyabiashara. Na hiyo kodi wanayokwepa na sisi end users tunachangia maana ni sehemu ya price tunayonunua. Call me whatever you may wish but as a law-abiding citizen I have obligation to uncover ujinga kama huu!
 
Kuna mtu alikulazimisha kwenda dukani kwake kununua hizo bidhaa? Huwezi siungekataa na kuondoka na pesa zako ukazigeuze zingine vitasa zingine misumari na tailizi? Acha unoko kisa kinyumba cha msonge, ukijenga Orofa sidunia itajua? Laki 2 na elfu kumi sinipesa ya kitasa kimoja na nauli yako?
Another fool who cant hide his stupidity!
 
Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Puuzi sana we jamaa,kwa hiyo hizo ela kubaki kwa mfanya biashara imekuuma sana unatamani hizo pesa zikaingie mifukoni kwa bashite na lile jizii la chatto
 
Back
Top Bottom