TRA, wafanyabiashara wana temper na EFD machines

TRA, wafanyabiashara wana temper na EFD machines

Kwa hiyo usipodai receipt utanufaika na nini? haujui hiyo yote inaenda kwenye tumbo la huyo ambapo ingeenda kuboresha huduma za jamii.

Akili zingine bora ifike tu mahali muwe mnaazimishwa akili maana naona kuna watu wamewashikia akili zenu. Kwenye ujenzi wa uchumi wa nchi akili kama hizi tunaziita ni za kishenzi kabisa na za kipumbavu. Right ungekuwa unaishi nchi za ulimwengu wa kwanza unakula kifungo cha miezi kadhaa gerezani ukitoka akili imepunguza makengeza.
Punguani mkubwa!!. Kwan hata akidai risiti wewe utafaidika na nn?. Maana ufisadi umetamalaki wanakula tu walioko huko serikarin si bora atafune mchumia juani mwenzangu!
 
Punguani mkubwa!!. Kwan hata akidai risiti wewe utafaidika na nn?. Maana ufisadi umetamalaki wanakula tu walioko huko serikarin si bora atafune mchumia juani mwenzangu!
Umelogwa wewe mwendawazimu na alokuroga amekufa. Endeleeni na akili zenu za nyumbu.

Siwezi endelea kuongea na kilaza.
 
Tuna tatizo sana mkuu hizi akili za kulialia.

Watu hawajui hata watoto wao au wa ndugu zao wanaosoma Msingi, Sekondari hadi chuo wanasomeshwa na kodi hizo hizo. hata wanapopita kwenye lami au barabara za vumbi hawajui ni kodi hiyo. Usalama wao polisi wanapopiga doria usiku ni koodi zao.

Bado nchi hii ina tatizo kubwa sana mbele.
Huko sahihi.

Nimeshangazwa na dhihaka waliyoionesha hapa. Hawa ndo wanataka umeme ufike vijijini, hospitali ziwe na dawa, shule ziboreshwe, huduma za maji ziboreshwe, barabara zikarabatiwe, mishahara ya wafanyakazi iongezwe, reli ya SGR ijengwe, umeme uwe wa uhakika lakini wakati huo huo hawataki kuona kodi stahiki ikikusanywa. Eti mfanyabiasha ana watoto wa kusomesha na kodi ya nyumba ya kulipia. Mbona hammtetei mwalimu, nesi na wafanyakazi wa kada zingine ambao makato yao hufanywa hata kabla hawajagusa hela yao? Mbona basi mfanyabiasha huyo huyo akwambii mgawane kiasi anachotaka kukwepa?
Wanapata wapi moral authority ya kudai serikali itimize wajibu wake wa huduma kwa jamii iwapo hawataki wengine walipe kodi stahiki?
Uzalendo wa kwanza ni kulipa kodi.
 
Kuna mtu alikulazimisha kwenda dukani kwake kununua hizo bidhaa? Huwezi siungekataa na kuondoka na pesa zako ukazigeuze zingine vitasa zingine misumari na tailizi? Acha unoko kisa kinyumba cha msonge, ukijenga Orofa sidunia itajua? Laki 2 na elfu kumi sinipesa ya kitasa kimoja na nauli yako?
 
Suala sio kulazimishwa, kodi take ndio mapato ya serikali tunayoilalamikia kubwa huduma za kijamii hazipo kumbe tunashiriki ujinga wa kukwepa kulipa kodi! Hiyo anayekwepa kulipa kodi anihujumu nchi! TRA njooni Humu watu watoe ushirikiano.
 
Kwa hiyo usipodai receipt utanufaika na nini? haujui hiyo yote inaenda kwenye tumbo la huyo ambapo ingeenda kuboresha huduma za jamii.

Akili zingine bora ifike tu mahali muwe mnaazimishwa akili maana naona kuna watu wamewashikia akili zenu. Kwenye ujenzi wa uchumi wa nchi akili kama hizi tunaziita ni za kishenzi kabisa na za kipumbavu. Right ungekuwa unaishi nchi za ulimwengu wa kwanza unakula kifungo cha miezi kadhaa gerezani ukitoka akili imepunguza makengeza.

Halafu ukilipa zianenda kulipia madeni ya kujitakia kwa uvunjifu wa sherawa makusudi
 
Kulipa kodi ni suala la kizalendo. Maana nchi inahitaji fedha kuwahumia wananchi, hata hivyo ni vema pia serikali ikaangalia namna bora ya kuwafanya watanzania wawe na mapenzi ya kulipa kodi. Mfano tumempeleka mgonjwa MUHIMBILI amevunjika mguu, unalazimishwa ulipe miliini 1 ili aungwe vinginevyo mguu unakatwa, tunamuhamisha mgonjwa wetu mpaka kibaha kwa Dr Baki, tunaambiwa tulipe laki 6. Tunalipa mgonjwa anapata huduma nzuri. Hivi utamshawishi vipi mtu wa aina kulipa kodi?
 
Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Big up tunahitaji wazalendo kama ww i wish wabongo wangekuwa kama ww kuliko kutukana matisu ambayo hayahitajiki....
 
Huyu jamaa mpuuzi tu,, eti kanajidai uzalendo! Uzalendo kamfanyie mkeo huko! Sasa kama kuna bidhaa umenunua nyingine haina VAT unataka mwenye duka akuandikie tu? Ingawa sijui umenunua bidhaa gani, lakini wacha umazwazwa,, wewe chukua risiti yako tembea!!
 
Nimenunua bidhaa za ujenzi za Tsh 210, 000 lakini RISITI YA EFD inasoma total cash Tsh 178, 000 na VAT Tsh 27, 152. Nilipomuuliza mbona mashine yake haitoi risiti sahihi maana 18% ya 210, 000/= ni 37, 800 na risiti yake ilipaswa kusomeka:
cash ni 172, 200
VAT 18% ni 37, 800
Hivyo Total cash isomeke 210, 000 akawa hana majibu.
Kama mtanzania mlipa kodi sikuridhika. Wito wangu kwa mamlaka ya Mapato nchini kukagua mashine hizi, nimegundua maduka mengi ya vifaa vya ujenzi hayana kabisa hizi mashine hivyo kuwepo na mwanya wa ukwepaji kodi kwa kutolipa kodi sahihi.
Sijajua kama wewe ni bwege au ni Dr. Shika...

Hivi unadhani kila kitu kwenye vifaa vya ujenzi vinalipiwa VAT?
 
Back
Top Bottom