TRA waanza kuita: Ass/Accountant post

TRA waanza kuita: Ass/Accountant post

hongereni wote mloitwa msisahau kuendelea kuomba,kuamini na kujitayarisha pia kwa interview 11sept.si mbali.
 
Post = assistant accountant TRA
venue=karume hall former PTA HALL
place =DSM kilwa road
interviewee=2100
available post= ( )
date = 11 sept 2013
time =8:00 am (+3 hrs GMT)
recruitment agency =( )

kazi ni kwenu vijana!kazi nje nje
 
Ivi maswali yanakuagaje hawa jamaa. Na mi nimeitwa pia. Nipeni hongera
 
Nyie mlioitwa gpa mwisho ya ngapi jamani..nipo roho juu hapa maana hawa watu wapo makini na gpa
 
Mm mwnyw leo nmepgiwa cm leo asubuhi wanaita kwny interview then wanatuma email ila mm email bado hawajani2mia,sku ya kuenda unaenda na hiyo barua utakayotumiwa kwa email. wana jf naomba maombi yenu maana kitaa nipagumu mno wa2 tumechoka balaa!
mi nimepata e-mail,cmu cjapigiwa....tuko pamoja mkuu katika maombi ila tujiandae vizuri maana nasikia jamaa wanakaza balaa,pepa kama ya cpa nasikia...
 
mi nimepata e-mail,cmu cjapigiwa....tuko pamoja mkuu katika maombi ila tujiandae vizuri maana nasikia jamaa wanakaza balaa,pepa kama ya cpa nasikia...

Usisahau calculator! sjajua upande wa hiyo post mm mwezi wa pl nilifanya interview ya assistant tax officer ilikuwa nyepesi sana tatizo pale kunakufahamiana sana.
 
Hongera bro, kuna namba imenipigia ya mezani nlikuwa mbali na simu, sasa napiga nambiwa inatumika kama dk 45 zimepita, namba walokupigia inaishia ngp?

La mhimu ni email tu,we fungua email coz yote anayoongea ndo yapo kwny barua walioku2mia na anadai usiende bila barua hiyo!
 
Back
Top Bottom