TRA vs TANAPA vs NSSF

TRA vs TANAPA vs NSSF

ALWATAN KIZIGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
539
Reaction score
648
Wana jamvi samahani lakini naomba mnijuze. Eti kati ya mashirika hayo matatu ni lipi linaongoza kwa kulipa mshahara mnono kwa wafanyakazi wake pamoja na marupurupu mengine. Akhsanteni
 
NSSF inafunika TRA NA TANAPA. NI BALAA NSSF TAKE HOME 3,000,000. BADO POSHO ZA KUFA KIUMBE
 
NSSF inafunika TRA NA TANAPA. NI BALAA NSSF TAKE HOME 3,000,000. BADO POSHO ZA KUFA KIUMBE
Huu lazima ni umbea wa kijiweni, mishahara lazima ina ngazi huwezi kukurupuka tu na kusema take home 3M bila kuainisha ni ya mfagiaji au karani au receptionist au Meneja. Kama NSSF wanapokea mshahara sawa kila Idara basi Dr Dau ni janga la kidunia
 
Huu lazima ni umbea wa kijiweni, mishahara lazima ina ngazi huwezi kukurupuka tu na kusema take home 3M bila kuainisha ni ya mfagiaji au karani au receptionist au Meneja. Kama NSSF wanapokea mshahara sawa kila Idara basi Dr Dau ni janga la kidunia[/QUO

acha uboya nina bro anafanya kazi huko nssf naelewa nachosema...we niaje
 
Mkuu Ombeni Mbise
Wewe ni janga la Taifa.

Hakuna kitu kama hicho ndg
huo ni mshahara/unawaduwaza watu.
 
:closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2:
 
ombeni...hapo Umeongea maana kuliko hata Muuulizaji alivyouliza bila Kujipanga,tusiwe na mawazo ya hivyo,ofisi yoyote,idara yoyote na cheo chochote ndio kina determine mshahara wa mtu,sasa bila kuangalizia,ofisi,idara,cheo tutakurupuka kutaja mishahara kama tuko usingizi tuuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mishahara kwenye taasisi inapangwa kulingana na vyeo kwa hiyo ni vigumu sana kugeneralise kwamba taasisi flani wana pata mshahara mkubwa kulipo taasisi fulani bila kutaja specific job category au cheo, muulizaji angeweza kuuliza labda kwa vyeo vya kuanzia watu wenye elimu ya degree kwenye taasisi flani wanalipwa kiasi gani, au wakuu wa taasisi hizo wanalipwa sh ngapi, au ngazi ya ukurugenzi kwenye taasisi flani wanalipwa kiasi gani. ukilinganisha na taasisi nyingine. Na pia mishahara ya taasisi nyingi ni siri sana kiasi kiasi kwamba kuna baadhi ya taasisi mf B.O.T hawaruhusu kabisa watumishi wao kupeleka salary slip zao kwenye mabenki kuombea mikopo
 
Fuata Kamusi yako tafuta maana ya JANGA utaelewa kuwa mimi si janga JANGA ni wanaoropoka bila facts hapa Jf
 
Mshahara wa mwenzio hautokusaidia kitu mkuu.
 
Nasikia Tanesco nao pamoja na majanga yao yote lakini wanalipana zaidi ya TRA,,,

Niliambiwa nikitaka kukubali fanya research hata ya dereva tu alieajiriwa wa Tanesco na TRA hali za maisha yao zikoje?

Sina uhakika lakini sijawai ona mfanya kazi wa Tanesco anaunga unga maisha japokuwa haafanyi chochote cha maaana.. I hate CCM
 
kunakolipa zaidi ni kuajiriwa kuwa katika misafara ya JK...hulipi hata kodi wala hakuna salary slip....inategemea mnakwenda nchi gani
 
Back
Top Bottom