TRA someni hapa: EFD zenu WIZI MTUPU

TRA someni hapa: EFD zenu WIZI MTUPU

kwa hiyo mnataka msilipe kodi? na wafanya kazi watasemaje? acheni kujibalagua lipeni kodi na mwaka huu wananchi wamewashtukia wala hawawaungi mkono

Ngoja waanze kulipa kama utakavyo halafu uone kama bei za nguo dukani zitashikika,Muda si mrefu mtajua madhara ya hizi machine.After all sijawahi kuwaamini serikali katika jambo lolote wanalolifanya kwasababu ni wezi na matapeli watupu wamejaa kule.Kwanza waanze kulipa wao viongozi wa serikali kodi ndipo waje kwetu kwa walala hoi,Mbona wao hawalipi?Mimi naona ni sawa tu kwa wafanyabiashara kuzigomea machine za EFD kwanza hata wakilipa hizo kodi hazitatumiwa kwa busara kamwe badala yake Kikwete na genge lake watazitumia pesa za kodi za walala hoi kwenda kuzurula nje ya nchi,Si afadhali wasilipe tu.
 
Wanaolalamika ni wafanyabiashara wadogo. Hawa wakubwa,hata hizo machine bado wanakwepa kodi. Nimenunua mzigo wa berrings ktk duka moja kubwa tu hapa dar za mil.7. Lkn list ya efd nikapewa ya laki 7. Na jamaa wanasisitiza hiyo ni list yako ya njiani hakuna mtu njiani anaangalia thamani ya mzigo. Na mzigo wa mil.7 wa berrings ni box 4 tu tena ndogo. Police hata akikumata ukimuonyesha list ya laki 7 na vibox vya mzigo lazima aamini.
 
Wanaolalamika ni wafanyabiashara wadogo. Hawa wakubwa,hata hizo machine bado wanakwepa kodi. Nimenunua mzigo wa berrings ktk duka moja kubwa tu hapa dar za mil.7. Lkn list ya efd nikapewa ya laki 7. Na jamaa wanasisitiza hiyo ni list yako ya njiani hakuna mtu njiani anaangalia thamani ya mzigo. Na mzigo wa mil.7 wa berrings ni box 4 tu tena ndogo. Police hata akikumata ukimuonyesha list ya laki 7 na vibox vya mzigo lazima aamini.

hii ni kweli 100%
tena wengine ukinunua mzigo kwao wanakuomba uwaruidishie risit endapo utafika salama unapopeleka
mzigo.hiyo risti anapewa mtu mwingine
 
mkuu mimi bado sijakuelewa hii laki moja kwanini ilipwe kila mwaka? Inamaana kila mwaka wanakupa fire extinguisher mpya?

Hawakupi. Wanadai ni gharama ya ukaguzi wa kizimio moto, wakati hata ukaguzi hawafanyi. Hata kwemye magari, kila mwaka tunalipia, na sijajua tunalipia kwa sababu zipi?
 
Setuba Noel Nimekumbuka maneno ya Niemöller kwamba

First they came for the Socialists, and I did not speak out--
Because I was not a Socialist.

Then they came for the Trade Unionists, and I did not speak out--
Because I was not a Trade Unionist.

Then they came for the Jews, and I did not speak out--
Because I was not a Jew.

Then they came for me--and there was no one left to speak for me.
Wafanyakazi tumelalamika sana kuhusu kiwango kikibwa cha PAYE ma hakuna alie kiwa anatiunga mkono. Sasa hv wamekuja kwenu nani wa kuwasaidia
 
Last edited by a moderator:
hii ni kweli 100%
tena wengine ukinunua mzigo kwao wanakuomba uwaruidishie risit endapo utafika salama unapopeleka
mzigo.hiyo risti anapewa mtu mwingine

Ha ha ha hii mbinu inatumika sana kariakoo mtaa wa uhuru,lazima risit yao uwarudishie au wanakupa kijana arudi nayo,

Wameshachezea machine za efd hazitumi report tra.
 
Kama zinatumia umeme kwa wafanyabiashara vijijini haiwahusu hii
 
kila mwaka watakuwa wanafanya ukaguzi wa mtungi na kukupa certificate.
kumbuka mtungi unanunua na auhusiani na laki moja.
na wanasema hiyo sheria imepitishwa na halmashauri ya jiji la mwanza ambayo na wenje yumo

kwaeli bongo uonevu umezidi .mimi naishi nje ya nchi huku fire extinguisher unanunua mwenyewe alafu watu wa fire wanakuja kucheki kila baada ya mwaka kama bado nzima haulipi kitu kama imehalibika wanaitengeneza alafu wanakuchaji hela
 
Setuba Noel Nairobi ukipita kwenye mgahawa ukanunua soda au kipande cha kuku lazima upewe risiti ya KRA. Kwanza wao wanalipwa na kupewa risiti kabla ya kupewa alichonunua. Anzeni kujenga utamaduni wa kulipa kodi, mnaponunua daini risiti kwa ajili ya kumbukumbu za matumizi
 
Last edited by a moderator:
Setuba Noel Tatizo sio bei za mashine, tatizo ni wafanyabiashara hawataki kutumia hizi machine.
 
Last edited by a moderator:
mi ni mfanyakazi lakini nawasapoti wafanyabiashara.hata wakinunua hizo mashine bado mzigo ni kwetu sisi walaji.kama ujuavyo biashara za bongo ni maelewano.hatujafika hatua ya kuwa na fixed price.nguo ya elf 40 utainunua kwa 15000.just imagine wauza mitumba wa karume au mchikichini wawe na efds unategemea walalahoi tutavaa?.suruali ya ekf 10 utainunua kwa elf 25.ile ya dukani ya elf30 utainunua kwa 50.mshahara wenyewe laki 4 utaweza kuishi?usiwe na myopic minded.kabla ya kuropoka uwe unafikiria matokei ya kitu kwa mapana yake.sio tu ushabikie wafanyabiashara kulipa kodi bila kujua position yako itakuwaje kama mlaji katika mzunguko wa kibiashara.
kwa wafanyabiashara kulipa kodi ni sawa kabisa kakini kuwepo na utaratibu ambao hautaleta madhara kwaa end user.bei ya umeme imepanda maji nayo yamepanda kutoka50 kwa ndoo moja hadi 100 tsh.kwa uelewa wako mdogo hapo muathirika ni nani?unadhani ni tanesco au serikali?acha ushabiki usiokuwa na tija kijana

Mkuu, nakushauri urejee vizuri hoja ya serikali kuhusu EFDs. Sidhani kama unaielewa ipasavyo...EFDs na kuongeza bei ya vitu madukani????!!!
 
Fire extinguisher unanunua mwenyewe hiyo laki moja ni ada ya mwaka.

ada ya nini mbona sielewi.samahani mkuu mimi naishi nje ya tz na huku nimejiajiri kama nimetumia fire extinguisher ikaisha basi nawapigia simu watu wa fire wanakuja kuijaza alafu nawalipa kama 40000 ya tz mambo ya kulipa kila mwaka hamna .watanzania inabidi tujifunze kuhoji tunaonewa sana
 
Wanaolalamika ni wafanyabiashara wadogo. Hawa wakubwa,hata hizo machine bado wanakwepa kodi. Nimenunua mzigo wa berrings ktk duka moja kubwa tu hapa dar za mil.7. Lkn list ya efd nikapewa ya laki 7. Na jamaa wanasisitiza hiyo ni list yako ya njiani hakuna mtu njiani anaangalia thamani ya mzigo. Na mzigo wa mil.7 wa berrings ni box 4 tu tena ndogo. Police hata akikumata ukimuonyesha list ya laki 7 na vibox vya mzigo lazima aamini.
Tukijenga utamasuni wa kulipa kodi mi nadhani nchi yetu itaendelea, kila mtanzania akinunua bidhaa akidai risit kweli tutafika..! sasa wewe unanunua mzigo wa milioni saba unapewa risit ya laki saba na unakubali unataka serikali ifanyeje? tukishirikiana wote tutafika! watanzania hatujazoea kulipa kodi...Wafanyakazi wa serikali kama wangekua wanalpewa mshahara wao then wanaambiwa mkalipe kodi sidhani kama kuna mtu angeenda, kwa hiyuo ili kuondoa hili wakambana mwajiri ndio akate juuu kwa juu! kwa hiyo kila mtu lazima alipe kodi
 
Ha ha ha hii mbinu inatumika sana kariakoo mtaa wa uhuru,lazima risit yao uwarudishie au wanakupa kijana arudi nayo,

Wameshachezea machine za efd hazitumi report tra.
Watanzania tukibadilika kwa hili nadhani yote hii itaisha, uwezi kupewa risit ukaombwa irudishwe? risit ni mali yako
 
Tatizo sio bei za mashine, tatizo ni wafanyabiashara hawataki kutumia hizi machine.
Wafanya biashara wengi wamezoea magumashi ndio maana hawtaki kulipa kodi, wanapata faida maradufu na serikali inaambulia patupu, yaani unalipa pango la kodi milioni kwa mwezi halafu unapeleka serikalini kodi ya laki tano kwa mwaka? huu si wizi huu?
 
MAMBO HOVYO HOVYO TU,SEREKALI IKUSANYE MAPATO KIKAMILIFU BANDARINI DAR,IWEKE WAZI LIST YA BIDHAA NA USHURU WAKE KWA UWAZI,IFUTE MISAMAA YA KODI YA HOVYO,JE SERIKALI HAIJUI MAAFISA WAKE WA USHURU HUKADIRIA USHURU KULINGANA NA JINSI OFISA USIKA ALIVYOAMKA! maofisa wa hapo wanamigao ya mamilion kwa siku OMBI;SERIKALI ITUPIE MACHO MAKALI NA YA UKARIBU NA ADHABU ZIWE ZA KUOGOPESHA KWA ATAKAYEPATIKANA HATIA+REAL OPENNESS
 
Kodi tunazolipa ingekuwa kuna faida zinaonekana ingekuwa safi sana maana bado huduma za kijamii ni mbovu hakuna hospital huko shuleni vitendea kazi hakuna w/funzi bado wanakaa chini lakini kodi wanatumbua wao tu ndio maana unaona mjumbe wa Bunge la katiba Posho 700,000 kwa siku wakati ni mshahara wa miezi 3 wa Mwalimu.

Kodi ingetumika vile inavyotakiwa watu wangepata Imani ya kulipa maana TRA inavuka lengo lakini hakuna kitu.
 
Back
Top Bottom