Nashangaa kuona wafanya biashara wanakua wavivu kulipa kodi,huku kodi kubwa ikilipwa na wafanyakazi.kwanza TRA wanasema kwa wale wenye faida kuanzia 14mn kwa mwaka na sio mauzo ya biashara ya mtu,pili haiwezi kuathiri mfumuko wa bei nchini kwasababu EFD haimgusi mzalishaji bali inamgusa msambazaji au mchuuzi(supplier)ambaye hana nguvu katika upangaji wa bei.
Ngoja waanze kulipa kama utakavyo halafu uone kama bei za nguo dukani zitashikika,Muda si mrefu mtajua madhara ya hizi machine.After all sijawahi kuwaamini serikali katika jambo lolote wanalolifanya kwasababu ni wezi na matapeli watupu wamejaa kule.Kwanza waanze kulipa wao viongozi wa serikali kodi ndipo waje kwetu kwa walala hoi,Mbona wao hawalipi?Mimi naona ni sawa tu kwa wafanyabiashara kuzigomea machine za EFD kwanza hata wakilipa hizo kodi hazitatumiwa kwa busara kamwe badala yake Kikwete na genge lake watazitumia pesa za kodi za walala hoi kwenda kuzurula nje ya nchi,Si afadhali wasilipe tu.