PRISCUS JR
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 448
- 236
Niliwambia humu kuna watu wametumwa na TRA na Mafisadi wao kupima upepo. Nadhani mmeshawajua. ni wazandiki wezi wanafiki wanufaika wa mpango mkakati wa kukusanya fedha za uchaguzi. Niwaambie tu Tanzania ya sasa siyo ya miaka Ileee, kamwe hamtofanikiwa mna laana hasa wewe mwenye kiherehere unajifanya msomi kumbe huna lolote!
Umevurugwa wewe. EFD itakutokea puani. Unajijua sina haja ya kukutaja ikikuuma jinyonge mliberari mkubwa.
Sina tabia ya kutukana ila nimekereka na mijitu inajiita misomi alafu inashadadia wizi na unyonyaji.
Nikupe taarifa tu aibiwi mtu hapa kawambieni waliowatuma wameingia chaka. Mnakera sana.
Umevurugwa wewe. EFD itakutokea puani. Unajijua sina haja ya kukutaja ikikuuma jinyonge mliberari mkubwa.
Sina tabia ya kutukana ila nimekereka na mijitu inajiita misomi alafu inashadadia wizi na unyonyaji.
Nikupe taarifa tu aibiwi mtu hapa kawambieni waliowatuma wameingia chaka. Mnakera sana.