kuna jama alinunua gari landcruiser kilimo kwanza jipya uarabuni kuulizia ushuru kaambiwa milioni mia na zaidi, ikabidi aliinue matairi yakawa juu akakanyaga accelerator mpaka likasoma km kadhaa kuulizia ushuru upo chini ya mia akapakia na kulileta bongo.mbona ukinunua gari jipya kodi yake ni kubwa sana ukilinganisha na gari hilhilo ukinunua likuwa kuku?