Lyceum
JF-Expert Member
- Oct 1, 2009
- 1,046
- 568
- Thread starter
- #61
kumbe kaka hujui, gari inapokua brand new FOB na CIF ndio hua kubwa but cost zingine ambazo ndo hutuua kama Import duty,engine capacity, year of manufacturer na vingine na hivi hua ghali endapo gari yako ni ya zamani sana ni ni nafuu almost 0 endapo gari yako brand new
Ndugu yangu nenda kwa calculator utapata majibu. Hata mimi nilidhani hivyo