TRA na ushuru wa kuingiza gari

TRA na ushuru wa kuingiza gari

La muhimu nikupandisha zaidi ushuru wa magari binafsi mara 100% theni kupunguza ushuru wa magari ya umma na kuweka mifumo bora kabisa ya usafiri wa umma.
 
Mkumbuke kodi alipandisha zakhia meghj kipindi hiko akiwa waUri wa fedha kwamba gari likiwa chakavu mtu alipe zaidi likiwa jipya alipe pungufu ..lengo kupunguza foleni jijini Dar!
 
Hakuna mijitu mishenzi na mapunguani wa mwisho ktk sayari ya dunia kama watanzania! Sasa mnalalamika nini eti kodi ya magari ipo juu wakati kwenye kampeni mliambiwa kuwa ccm ni ile ile na mtaisoma namba,mtu kama wonderful eti naye anakuja kulia lia hapa wakati ni ccm damu,zero brain Tanzanians! Kasi aliyonayo magufuli ni nzuri ila kama upinzani ungechukua serikali,kasi ingekuwa mara elfu zaidi,magufuli hawezi kuvunja mikataba ya gesi na madini waliyoingia watangulizi wake,pia hawezi kurudisha pesa za EPA na ESCROW,hayo yote yangefanywa na upinzani tu! Yeye ana nia nzuri sana na taifa,ila waliomzunguka ni mashetani wote,ndo maana tulitaka system yote ya ccm ianguke kabisa,kulalamika wakati nyie ndo mliichagua ccm wenyewe na mnaijua vizuri ni upuuzi mtupu,lipeni hizo kodi za magari watu waendelee kujenga mahekalu nyambafu zenu kenge nyie,mliona wapi duniani mabadiliko yakaja kwa chama kimoja?
 
Tatizo ni gari la milioni 7. Wewe hutakiwi kuwa na gari. Haiwezekani kila Athumani, Hadija na Maimuna waweze ku-afford mikweche ya CIF $1500 wakitegemea total kodi na ushuru wa $150.
 
Hawa jamaa wamepandisha ushuru wa kuingiza magari kumbe nao ni wizi tu. Unanunua gari mill 7 ushuru TRA unalipa mil 20. Huu ni uwendawazimu kabisa. Haiingii akilini.

Kwa milioni 7 bora ununue lawn mower ya Honda, halafu itume ro-ro kwa meli. Utakuwa unapiga misele in somebody's backyard.
 
Kwa milioni 7 bora ununue lawn mower ya Honda, halafu itume ro-ro kwa meli. Utakuwa unapiga misele in somebody's backyard.

Mkuu gari zinauzwa bei rahisi sana usibishe kama hauna password.uliza utaambiwa si gari tuu viingi ila kodi ndio shida hapa kwetu..
 
Tatizo ni gari la milioni 7. Wewe hutakiwi kuwa na gari. Haiwezekani kila Athumani, Hadija na Maimuna waweze ku-afford mikweche ya CIF $1500 wakitegemea total kodi na ushuru wa $150.
Wakiwa nayo nyie inawauma nini??!!
Au raha yenu ni kuona wakinyeshewa na mvua na kupeleka watoto wao shule kwa bodaboda??!!
Wakiumwa usiku wakagonge mageti ya watu kwa msaada wa usafiri??!!
 
Wakiwa nayo nyie inawauma nini??!!
Au raha yenu ni kuona wakinyeshewa na mvua na kupeleka watoto wao shule kwa bodaboda??!!
Wakiumwa usiku wakagonge mageti ya watu kwa msaada wa usafiri??!!

Milioni 7 hata bajaj mpya hupati. Jaribu kuagiza bajaji used kutoka India uitume kwa meli ukishindwa tafuta mkweche wa hapahapa kwa bei hiyo.
 
Milioni 7 hata bajaj mpya hupati. Jaribu kuagiza bajaji used kutoka India uitume kwa meli ukishindwa tafuta mkweche wa hapahapa kwa bei hiyo.

Mkuu tunazungumzia gari zetu used au wewe unazungumzia zipi? Camteen,Hong kong zipo hata za dola 300 unasema milion saba ?
 
Hii kodi ya Magari ni shidaaa shidaaaaaaa... ni jipu.. kodi inazidi gharama ya gari tena sanaaaaa... imagine...

🚶🚶🚶
 
Tatizo hapa ni kutokuwa innovative, vyanzo vya mapato ni vile vile miaka nenda rudi, halafu vyanzo hivyo hivyo vinatumika kufidia gape la kodi inayopotea kwenye madili.

ni wakati sahihi sasa mfumo wa kodi kwenye vitu mbali mbali ufanyiwe marekebisho sambamba na hatua za Magufuli kudhibiti wakwepa kodi.
 
Milioni 7 hata bajaj mpya hupati. Jaribu kuagiza bajaji used kutoka India uitume kwa meli ukishindwa tafuta mkweche wa hapahapa kwa bei hiyo.

Uagize used wakati zipo Vingunguti zinapigwa jua mpya. . . . . . Ok umeeleweka
 
Mkuu gari zinauzwa bei rahisi sana usibishe kama hauna password.uliza utaambiwa si gari tuu viingi ila kodi ndio shida hapa kwetu..

Barabara hazitoshelezi nchi hii. Siyo lazima kila mtu mwenye dola 300 aweze kuagiza gari la 1995. Mikweche ipo mingi soko la ndani kwa bei ya milioni 7 all inclusive. Wewe kama huna uwezo wa kulipa kodi nunua mnazi mmoja na kwenye car yard
 
Barabara hazitoshelezi nchi hii. Siyo lazima kila mtu mwenye dola 300 aweze kuagiza gari la 1995. Mikweche ipo mingi soko la ndani kwa bei ya milioni 7 all inclusive. Wewe kama huna uwezo wa kulipa kodi nunua mnazi mmoja na kwenye car yard

Mkuu mi naumia katika kodi ya tiper truck tani 18 tunalipa kodi 40 milion au bus za abiria ,sio hayo ya kutembelea tunakubali kulipa ingawaje ni kubwa haya pathfinder na Land Rover td 3 mkuu mbona kawaida tuu humo ndio tunakaa..
 
Back
Top Bottom