TRA na ushuru wa kuingiza gari

TRA na ushuru wa kuingiza gari

GDP ya Kenya na tz ni saw a? Je marginal propensity to earn or consume tz na Kenya iko sawa? Compare na per capita income ya izo nchi mbili. Generally and intellectually huwezi linganisha ivo bila kuangalia economic environment ya izo nchi mbili.

hayo uliyomueleza ni ya kitaalamu sana sidhani kama atakuelewa
 
Kodi zipo kisheria kutokana na uchakavu wa gari lenyewe au la kifahari n.k so sio kusema gari m7 kodi 20m griiiii! it dependi gari yako either umepewa zawadi au umenunua kwa mtu mwenye shida kakuuzia kwa bei poa au umenunua kwa bei ya offer is up to you huku tushawekewa standard yetu hizo hizo gari ukiuziwa kwa bei juu kuliko kodi itakuwa ni ile ile kwa mwenzako aliyeuziwa kwa bei ya offer au zawadi.... tuwe wawazi sio kuponda kwa kupitiliza.... la muhimu tuombe kupunguziwa kodi na wabunge wetu ndio waliotunga.... na tuache kununua mitumba tuzoee vipya au hamjui ni raha magari mabovu ni sawa na jini litakunyonya hakika

mbona ukinunua gari jipya kodi yake ni kubwa sana ukilinganisha na gari hilhilo ukinunua likuwa kuku?
 
Ni watu wangapi wa kawaida wanaweza Kumudu kununua gari jipya?Lawama kubwa ziende kwa wabunge especially wa ccm (ndo kwa wingi wao)wangeweza kabisa kuzuia dhuluma hii ovu.TRA tunawalaumu bure,wanatekeleza sheria.

Mbona yanawezekana tu kununua gari jipya kwani kitambo kile Tanganyika na zanzibar kulikuwa na Magari mapya tu... hii Used ni kuanzia miaka ya 80s juu kwenda 90s kulikuwa na Magari Mapya tu Land Rover Peugeot renault, Scania, Benz kubwa Bedford,Fiat, Nissan Dutsun, Toyota Hilux, Suzuki, Leyland na Nadhani Nyerere alikuwa hapendi Mitumba.. na watu waliweza kununua mbona why now washindwe?

Fanyeni Kazi sana kila kitu kinawezekana... Kulima, Biashara n.k inawezekana
 
mbona ukinunua gari jipya kodi yake ni kubwa sana ukilinganisha na gari hilhilo ukinunua likuwa kuku?

Wasanii tu hawa. Ukinunuwa gari kongwe wanakwambia lina uchakavu, ukinunuwa mpya wanaipandisha thamani. You cant win!
 
Wakuu mimi naahilisha kununua gari kila siku maana sipati jibu zuri kwa calculator zao. Kuna kitu kimoja kinanisumbua:
Wanasema kuwa unaponunua gari lenye umri kidogo unalipia bei ndogo. Ukiangalia hii utakuta kwa gari fulani jinsi unavyopunguza miaka ndo gharama zinaongezeka na unapopandisha miaka kuwa mingi inapungua. Ila ukifika miaka kama 9 na 10 ndo bei ziko chini. Sasa nashindwa kuelewa hivi kigezo gani kinatumika wakati wanasema umri wa gari ambao unaanza kulipiwa gharama kubwa ni miaka 8 kwa sasa.

Inawezekana nashindwa kuelewa. Unaweza chagua gari fulani ubadili miaka tu utagundua hilo.
Hawa jamaa wamepandisha ushuru wa kuingiza magari kumbe nao ni wizi tu. Unanunua gari mill 7 ushuru TRA unalipa mil 20. Huu ni uwendawazimu kabisa. Haiingii akilini.

These people are robbers. Majambazi wakubwa TRA ndio maana Mungu anawalaani. Mtu unakokotoa na kutafuta kigari cha $2000 kufika haha Ushuru ni $4000, upumbavu gani huu TRA. Hawataki watanzania wanunue Magari period

Tatizo mnanunua magari yaliyo 'hoza' sasa!!!

Ilikua ya mwaka gani?
Otherwise tuanze kupitishia mombasa tu sasa.

Kodi za magsri ni Maumivu sana kwa Watanzania, kodi ni.kubwa sana, imefikia hatua kununua gari kwa Mtanzania ni km adhabu???

Bunge na serikali lazima walitazame hilo...halafu ajabu ni kwamba ukiagiza gari nje na ukinunua bei hapa kwetu ni karibu bei sawa

Kuna habari kuwa hawa jamaa wanaouza magari kwny showroom kuna michezo huwa wanafanya TRA kukwepa kodi ndio maana kodi inafanana na anaeagiza nje moja kwa moja!

Ndugu yangu fanya utafiti. Magari yapo kwenye mitandao na TRA calculator ipo kwa weside yao. This is the plain truth. Kodi zipo juu mnoooo

Hivi TRA si wana calculator ya ushuru? hebu tutafute ukweli kwa kutumia hii calculator, tuwekee detail za gari na mwaka wake.. Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools

Wakuu inawezekana tunalipa ushuru mkubwa sana, na hivyo serikali inapaswa itusikilize. Lakini pia jaribu kulinganisha ushuru walipao wenzetu Kenya kwa kutumia calculator ya Tanzania, na Kenya. Inaonesha Kenya wanalipia maradufu.
Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools
KRA Motor Vehicle Import Duty Calculator

Kodi zipo kisheria kutokana na uchakavu wa gari lenyewe au la kifahari n.k so sio kusema gari m7 kodi 20m griiiii! it dependi gari yako either umepewa zawadi au umenunua kwa mtu mwenye shida kakuuzia kwa bei poa au umenunua kwa bei ya offer is up to you huku tushawekewa standard yetu hizo hizo gari ukiuziwa kwa bei juu kuliko kodi itakuwa ni ile ile kwa mwenzako aliyeuziwa kwa bei ya offer au zawadi.... tuwe wawazi sio kuponda kwa kupitiliza.... la muhimu tuombe kupunguziwa kodi na wabunge wetu ndio waliotunga.... na tuache kununua mitumba tuzoee vipya au hamjui ni raha magari mabovu ni sawa na jini litakunyonya hakika

Wana calculator lao hilo ni hatar.. Unaingiza sijui mwaka, CC, model hio bei inayotoka hapo..utajuta!!! Bora mie na baskeli yang
 
Ilikua ya mwaka gani?
Otherwise tuanze kupitishia mombasa tu sasa.

Mkuu tatizo siyo bandari ya kupitishia hizo gari au mizigo mengine bali ni kanuni ya ukokotoaji wa kodi. Ukipitia Mombasa sawa, kwani hiyo gari utaisajili mombasa na kuitumia huko huko?
 
GDP ya Kenya na tz ni saw a? Je marginal propensity to earn or consume tz na Kenya iko sawa? Compare na per capita income ya izo nchi mbili. Generally and intellectually huwezi linganisha ivo bila kuangalia economic environment ya izo nchi mbili.

GDP ina uhusiano gani na ushuru?
 
hayo uliyomueleza ni ya kitaalamu sana sidhani kama atakuelewa

Mkuu naomba unipe uhusiano wa GDP na vehicle import duty. Maana mimi siwezi nikaelewa.
 
Mbona yanawezekana tu kununua gari jipya kwani kitambo kile Tanganyika na zanzibar kulikuwa na Magari mapya tu... hii Used ni kuanzia miaka ya 80s juu kwenda 90s kulikuwa na Magari Mapya tu Land Rover Peugeot renault, Scania, Benz kubwa Bedford,Fiat, Nissan Dutsun, Toyota Hilux, Suzuki, Leyland na Nadhani Nyerere alikuwa hapendi Mitumba.. na watu waliweza kununua mbona why now washindwe?

Fanyeni Kazi sana kila kitu kinawezekana... Kulima, Biashara n.k inawezekana

Mkuu ngoja nijaziejazie hapo kwenye gari kulikuwa na Ford Anglia,Ford Cortina,Citrone,Morris Minor,Lada kutoka urusi,vw(volks wagon),Zephyr,Pikipiki kulikuwa na BSA,Triumph,Honda,Yamaha,Zundap,malori umesaha Commer,Isuzu (shuma mtupu),Jeifong ni kweli hizi brand gari zote zilikuwa zinakuja mpya.
 
Ni watu wangapi wa kawaida wanaweza Kumudu kununua gari jipya?Lawama kubwa ziende kwa wabunge especially wa ccm (ndo kwa wingi wao)wangeweza kabisa kuzuia dhuluma hii ovu.TRA tunawalaumu bure,wanatekeleza sheria.

Sio Dhuruma mkuu hayo Magari ya kununuliwa na kila mtu ni Mabovu ukiangalia Idadi ya ajari na idadi ya watu waliokufa kwa ajari za barabarani hata ungekuwa wewe ungeunga mkono yaondoshwe
 
Yaani hii leo ndiyo thread yenye mshiko kati ya zote nilizoziona maana wanakadiria kana kwamba wanatukomoa kwenye nchi yetu.
 
Wakuu mimi naahilisha kununua gari kila siku maana sipati jibu zuri kwa calculator zao. Kuna kitu kimoja kinanisumbua:
Wanasema kuwa unaponunua gari lenye umri kidogo unalipia bei ndogo. Ukiangalia hii utakuta kwa gari fulani jinsi unavyopunguza miaka ndo gharama zinaongezeka na unapopandisha miaka kuwa mingi inapungua. Ila ukifika miaka kama 9 na 10 ndo bei ziko chini. Sasa nashindwa kuelewa hivi kigezo gani kinatumika wakati wanasema umri wa gari ambao unaanza kulipiwa gharama kubwa ni miaka 8 kwa sasa.

Inawezekana nashindwa kuelewa. Unaweza chagua gari fulani ubadili miaka tu utagundua hilo.

Serikali yetu mkuu imejaa ubabaishaji sana, inafika wakati mpaka unajuta kuzaliwa kwny hii nchi....

Serikali ilipandisha kodi ya gari kisa foleni za Dar, unajiuliza hii inawahusu nn wananchi wasioishi Dar? Ndio maana wananchi wameichukia sana serikali yao!
 
Sawa mkuu Mlaleo. Ila issue hizo standards zilizowekwa ni za kinyonyaji. Halafu unvyoongelea magari mapya jua pia kwamba kodi ya gari jipya ni juu mno. Better used. Anyway issue kubwa ni hawa watu wafikirie namna ya kupitia upya hii sheria. Waweke ushabiki wa kisiasa pembeni na wafanye kwa maslahi mapana ya taifa.

kumbe kaka hujui, gari inapokua brand new FOB na CIF ndio hua kubwa but cost zingine ambazo ndo hutuua kama Import duty,engine capacity, year of manufacturer na vingine na hivi hua ghali endapo gari yako ni ya zamani sana ni ni nafuu almost 0 endapo gari yako brand new
 
Bunge kaeni mpunguze kodi haya maisha ya zama za ujima gari sio starehe..starehe zipo sio gari..
 
Back
Top Bottom