TRA na ushuru wa kuingiza gari

TRA na ushuru wa kuingiza gari

Hapo kwenye inshu ya zanzibar wanachokifanya Tra kama hio Gari ushuru wake huku Bara labda ni million 10 na kule zanzibar labda ushuru wake ni milioni 3,wanachokifanya ukiileta hio Gari Bara wana kucharge million 7 ambayo wamechukua million 10 kutoa zile million 3 ulizolipia zanzibar., afu hao jamaa wa show room labda kwa sababu wanaagiza magari mengi kwa wakati mmoja nadhani wauzaji kule Japan wanawauzia magari kwa discount tofauti na sisi tunaonunua moja moja afu wakifika Tra nadhani kuna michakato hua wanaifanya kule

Katika European union, we toka na gari nchi yoyote na nenda nchi unayo taka, hautadaiwa kodi, na kila nchi imeweka taratibu zake za kodi, kwa nini iwe Tanzania tu ndio tuna mfumo huu? Halafu tunausifia muungano wa pekee..

Kanunue tv mkuu zanzibar kama hutaiwacha bandarini, bora ununue Kenya or nchi nyengine jirani nafuu.
 
VW maana yake ni peoples car ilikusudiwa kila mwenye uwezo hata ukiwa mdogo umiliki gari,nilikuwa nakutafutia picha ya Volkswagen kwenye mtandao hebu angalia hizo chini
Hizi gari zilikuwa zikiletwa nchini zinaletwa mpya

Daah asee mkuu Asante sana, kwa kweli Mungu akinipa uzima huko mbeleni lazima nitafute vintage car moja asee, kwangu mimi vintage car inanionyesha nimetoka wap na inanipa hope ya better future
 
Katika European union, we toka na gari nchi yoyote na nenda nchi unayo taka, hautadaiwa kodi, na kila nchi imeweka taratibu zake za kodi, kwa nini iwe Tanzania tu ndio tuna mfumo huu? Halafu tunausifia muungano wa pekee..

Kanunue tv mkuu zanzibar kama hutaiwacha bandarini, bora ununue Kenya or nchi nyengine jirani nafuu.

Basi kama ndo hivo tena kumbe Jumuiya ya A/mashariki ni nzuri sana kwetu kuliko hata muungano wa TZ na zanzibar. Nakumbuka zaman sana nilinunua DVD player huko zanzibar kwa hela ndogo sana daah jamaa bandarini wakakomaa na mimi ikabidi nimuuzie mtu pale pale ye alisema anajuana nao
 
Mkuu Mlaleo katika aina ya magari uliyoyataja ambayo yalikuwa yanaletwa mapya nilikuwa natafuta jina la aina moja ya gari nilisahau sasa nimekumbuka ni SIMCA!!!

Mkuu ngoja nijaziejazie hapo kwenye gari kulikuwa na Ford Anglia,Ford Cortina,Citrone,Morris Minor,Lada kutoka urusi,vw(volks wagon),Zephyr,Pikipiki kulikuwa na BSA,Triumph,Honda,Yamaha,Zunda p,malori umesaha Commer,Isuzu (shuma mtupu),Jeifong ni kweli hizi brand gari zote zilikuwa zinakuja mpya.
 
Mkuu pata picha za Old is GOLD

Yah ila si hayo yote yaliyokuwepo nchini na hpo pichan zipo chache ambazo zilikuwepo nchini na nyingi hazipo hapo...
Kuna Ambazo mimi nimeziona kwa Macho yangu Haswa kuzigusa na kuzipanda

like Morris
moggy1.jpg950c3710-552d-493e-b93a-f95bd094af32Larger.jpg





Hii Hapo ipo pale Makumbusho niliipiga na Picha

B97307346Z.120140417145251000G655B8IB.11.jpg


Kitu Mr Bean

2ddd9aaeb7f3402c9498a8e2a1149984.jpg


Hii Model nimeishuhudia Tz



Hii Kitu Renault kuna jamaa yetu wa Upanga akiiona hii atafurahi sana walishawahi imiliki



Hii nayo Gear yake ilivyo niliipenda



Fiat na Model zake kitambo



Hii hadi Toy zake tumechezea

Kuna Gari moja nimelisahau jina lake kioo cha juu ya paa kwenda nyuma sawa ila pale kwenye kioo cha nyuma kama z ukiigeuza nilikuwa naiona gari ya ajabu sana alikuwa nayo muhindi fulani mtaani
asd.jpg


 
Back
Top Bottom