TRA na ada za mabango

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,495
5,529
Naandika haya huku nacheka sana,

Mmoja wa wateja wangu alitaka kufanya Campaign kubwa ya kitaifa kwa ajili ya bidhaa yake/ huduma. Kama ilivyo kawaida yangu nilimpatia baadhi ya Maangalizo ikiwamo umuhimu wa kuwa strategic na cost conscious ili asije tumia pesa nyingi kufanya matangazo ambayo sio ya lazima. Basi tukaanza mchakato wa kufanya due diligence na kuona hii kampeni yake ya kuweka mabango offline itaendaje.

Nikaenda kwa afisa wa TRA kufahamu kodi ya mabango ni kiasi gani? Akaniambia ni TZS 18000 kwa futi moja ya mraba.Kwa hesabu za haraka Bango moja kubwa linaweza kuwa na futi 8 za mraba hivyo kwa mwaka litapaswa kulipiwa kati ya TZS 40k hadi TZS 80k kwa idadi ya mabango tuliyotaka kuweka na ukubwa wake tuligundua kwamba gharama za kuyatengeneza mabango ni ndogo kuliko kuliko kodi kwa 120% yaani kodi tutakayolipa kwa kila bango ni kati ya 80% na 120% Kwanza nikashangaa lakini baadae nikaelewa ni kwa nini sasa hivi makampuni mengi yanakimbia kuweka Mabango mjini.

Hivi TRA hizi rates nilizopatiwa kweli ndo standard rates au kuna mazingira ya UPIGAJI? Ukipita mjini mabillboard yaliyokuwa yanachangamsha mji yameshushwa mji unaoneka umezeeka kumbe chanzo ni hizo kodi tata za Mabango.

Swali ni je, hiki kiwango ni fair?
 
Skuizi matangazo ya mabango sio ishu Tena. Online adds na door to door advats n rahisi kufikia watu wengi Sana na kupata good delivery kuliko bango
 
TRA wana matatizo wako tayari wakose pesa kuliko ku chaji pesa ndogo wakiusanye kodi

Mfano madogo magari mengi sana ya kubeba mizigo yalikuwa na matangazo ya bidhaa kwenye bodi za magari baada ya kuambiwa kodi kubwa na TRA za hayo.matangazo ambayo kwa wanaona kama mabango ya biashara wenye magari wamefuta hayo matangazo gari inatembea bila tangazo na TRA wanaambulia mikono mitupu!!! heri hata wangesena lipeni hata elfu 20 kwa mwezi waambulie chochote kulipko.kupata zero
 
You should not blame them. They do have a target to achieve at all possible means. 😂😂😂
 
Naandika haya huku nacheka sana,

Mmoja wa wateja wangu alitaka kufanya Campaign kubwa ya kitaifa kwa ajili ya bidhaa yake/ huduma. Kama ilivyo kawaida yangu nilimpatia baadhi ya Maangalizo ikiwamo umuhimu wa kuwa strategic na cost conscious ili asije tumia pesa nyingi kufanya matangazo ambayo sio ya lazima. Basi tukaanza mchakato wa kufanya due diligence na kuona hii kampeni yake ya kuweka mabango offline itaendaje.

Nikaenda kwa afisa wa TRA kufahamu kodi ya mabango ni kiasi gani? Akaniambia ni TZS 18000 kwa futi moja ya mraba.Kwa hesabu za haraka Bango moja kubwa linaweza kuwa na futi 8 za mraba hivyo kwa mwaka litapaswa kulipiwa kati ya TZS 40k hadi TZS 80k kwa idadi ya mabango tuliyotaka kuweka na ukubwa wake tuligundua kwamba gharama za kuyatengeneza mabango ni ndogo kuliko kuliko kodi kwa 120% yaani kodi tutakayolipa kwa kila bango ni kati ya 80% na 120% Kwanza nikashangaa lakini baadae nikaelewa ni kwa nini sasa hivi makampuni mengi yanakimbia kuweka Mabango mjini.

Hivi TRA hizi rates nilizopatiwa kweli ndo standard rates au kuna mazingira ya UPIGAJI? Ukipita mjini mabillboard yaliyokuwa yanachangamsha mji yameshushwa mji unaoneka umezeeka kumbe chanzo ni hizo kodi tata za Mabango.

Swali ni je, hiki kiwango ni fair?
Hili ni tatizo Kubwa sana, na liko mikononi kwa Raisi mwenyewe, na hapo inakua ngumu sana kuliongelea Swala la kodi Kubwa ambayo inarudisha Nchi nyuma, Ni vizuri raisi akatafuta watu mwenye uelewa wa Biashara wawe wafanya biashara wasio na historia ya upigaji, wamshauri wamwonyeshe jinsi kodi Kubwa na nyingi inavyoikosesha Nchi pesa nyingi.
 
TRA wana matatizo wako tayari wakose pesa kuliko ku chaji pesa ndogo wakiusanye kodi

Mfano madogo magari mengi sana ya kubeba mizigo yalikuwa na matangazo ya bidhaa kwenye bodi za magari baada ya kuambiwa kodi kubwa na TRA za hayo.matangazo ambayo kwa wanaona kama mabango ya biashara wenye mahari wamefita hayo.matangazo gari inatembea bila tangazo na TRA wanaambulia mikono mitupu!!! heri hata wangesena lupeni hata elfu 20 kwa mwezi waambulie chochote kulipko.kupata zero
Hakuna hata haja ya kulipisha mabango kwenye magari, kwani magari yanalipa kodi, na hizo bizaa zinalipa kodi, unampa unafuu wa huyo wenye bizaa kupata wateja, ili aweze kulipa kodi , hawafikirii hawa watu kabisa.
 
TRA wana matatizo wako tayari wakose pesa kuliko ku chaji pesa ndogo wakiusanye kodi

Mfano madogo magari mengi sana ya kubeba mizigo yalikuwa na matangazo ya bidhaa kwenye bodi za magari baada ya kuambiwa kodi kubwa na TRA za hayo.matangazo ambayo kwa wanaona kama mabango ya biashara wenye mahari wamefita hayo.matangazo gari inatembea bila tangazo na TRA wanaambulia mikono mitupu!!! heri hata wangesena lupeni hata elfu 20 kwa mwezi waambulie chochote kulipko.kupata zero
Noliona juzi unawaambia TABOA wakuwasilishie chap matatizo yao utapiga simu kwa wahusika watatue haraka sana vipi na hili huwezi kupiga simu?
 
TRA wana matatizo wako tayari wakose pesa kuliko ku chaji pesa ndogo wakiusanye kodi

Mfano madogo magari mengi sana ya kubeba mizigo yalikuwa na matangazo ya bidhaa kwenye bodi za magari baada ya kuambiwa kodi kubwa na TRA za hayo.matangazo ambayo kwa wanaona kama mabango ya biashara wenye mahari wamefita hayo.matangazo gari inatembea bila tangazo na TRA wanaambulia mikono mitupu!!! heri hata wangesena lupeni hata elfu 20 kwa mwezi waambulie chochote kulipko.kupata zero
Niliwahi kusema TRA ndo wahujumi uchumi namba moja.

Sijui wanatumia kiungo gani kufikiri! Yani hawana ubunifu kabisa, kazi yao kubambikia wafanya biashara makodi makubwa yasiyolipika mwishoe wanakosa bara na pwani.
 
TASK FORce wa tra wanashindana kununua audi..ni wapumbavu sana kila mwaka wanangangania wapandishe kodi...kuna mtu wa ndani azam niliongea nae anasema azam alikuwa analipa kwa almashauri kodi ya mabango b13-20b walivyokuja kuhamishiwa tra wakatakiwa kulipa b50-80 wakakayafuta na kununua turubai nyingine..
 
Back
Top Bottom