Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
nilitaka sema hivi hivi maana kilichoimbwa humo ndani ni ushuzi tu
Ushuzi tu ..kataja had kina bashite
nilitaka sema hivi hivi maana kilichoimbwa humo ndani ni ushuzi tu
sasa ilo biti ukitaka lifaidi nenda pale the return lounge anapopiga dj wake ommy crazy ni balaa..........ingia saa sita muda ambao watu washawaka mbayaUshuzi tu ..kataja had kina bashite
sasa ilo biti ukitaka lifaidi nenda pale the return lounge anapopiga dj wake ommy crazy ni balaa..........ingia saa sita muda ambao watu washawaka mbaya
Teh teh tehNakuonaga kule Celebrity forum ukipondaga kumbe na ww umeenda.Leo mziki mbovu umekuwa mzuri.
HahaHa ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] mfano nikikuambia mimi ni mgambo wa suma jkt nimepangwa kazini utakuwa na lakuongea tena?
Nyuma ya calabash mwengeIko wap hyo lounge...mie kuna lounge naielewa balaa..sema watu wengi wao hawjui kucheza...ila tamu balaa...!hhaahaha