Mkuu upo sawa 10000 vat yake ni 1800...kwa sisi tunaofanya biashara tunajua
Calculate unavyojua, ila tafuta total ya 10,000/= VAT inclusive
Calculate unavyojua, ila tafuta total ya 10,000/= VAT inclusive
Wewe upo sahihi lakini huyo unaemuunga mkono hayupo sahihi. Rudia kusoma alichoandika utaelewa.Mkuu upo sawa 10000 vat yake ni 1800...kwa sisi tunaofanya biashara tunajua
Ndio wabongo walivyo
Wanamponda Mondi wakati muda huo huo wanaangalia Wasafi tv
Ni element za uchawi hizoHussein machozi aliimbaga.
Ndio mlezi wao.hivi kwenye wasafi bashite ni mdau ?
Tell me what you see, when u look at me man..
[emoji16][emoji16][emoji16]I see a poor honky
Waacheni vijana wetu.Kinachotokea sasa hivi ni wakusanya ticket wanakusanya tickets pamoja na EFD receipts, kisha wanazirudisha katika sales point hili coaster hapa getini.
Babu Tale yupo getini.
Ameharibu kuingiza siasa kwenye muziki.Hilo beat zuri jaman khaaa...hapo uwe uko level kwa tungi@ledada
Ameharibu kuingiza siasa kwenye muziki.
Washabiki wake walio vyama vya upinzani kuanza kuwaimbia Magufuli na Makonda ni kuwachefua.
mashabiki wa mond huwaambii kitu,hata aimbe kitu gani wao fresh tu.Ameharibu kuingiza siasa kwenye muziki.
Washabiki wake walio vyama vya upinzani kuanza kuwaimbia Magufuli na Makonda ni kuwachefua.
Wasafi ( Diamond ) kua marafiki wa Bashite wanajikuta Nchi kama Yao Diamond amejaa kiboko na Dharau walipe tu kodi TRA fanyeni kazi yenu
,watu wako kazini na show inaingiza millions of money Wewe unasema ujinga?kumbe kuna watu serious wameenda kuangalia ujinga
Ni bora msikiliza kelele kuliko mleviNimetoka kulewa nakuta watoto wanatizama kwa TV, hivi seriously kuna watu timamu wamelipia kelele hizi..? No wonder 13 mega pixel hakauki humu.
Kodi watalipa CCM wanaoongoza nchi na wapinzani nao wakishika nchi watalipa Kodi wao,hadi sasa nyingi ccm mmeshindwa kukusanya Kodi na kuiletea nchi maendeleo kwa 50years,mnataka kusaidiwa,lipeni Kodi.Watanzania wengi wanaona fahari kuibia serikali. Ni jambo la aibu sana.
Ni bora msikiliza kelele kuliko mlevi
Watoto wako wamekuzidi Akili maana hauko timamu.
Petty issue unajua katika kila 10,000/= kuna 1,800/= ya serikali, nikimaanisha VAT ambayo siyo ya wasafi ila ni value added kwa wahudhuriaj?, zidisha kwa half ya entrance
nilitaka sema hivi hivi maana kilichoimbwa humo ndani ni ushuzi tuHilo beat zuri jaman khaaa...hapo uwe uko level kwa tungi@ledada