Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,562
Akikujibu ndio... UtasemajeWewe umeenda kufuatilia risiti?
Akikujibu ndio... UtasemajeWewe umeenda kufuatilia risiti?
Kinachotokea sasa hivi ni wakusanya ticket wanakusanya tickets pamoja na EFD receipts, kisha wanazirudisha katika sales point hili coaster hapa getini.
Babu Tale yupo getini.
Fanya kilicho kuletaKinachotokea sasa hivi ni wakusanya ticket wanakusanya tickets pamoja na EFD receipts, kisha wanazirudisha katika sales point hili coaster hapa getini.
Babu Tale yupo getini.
We inakuuma nn,Kinachotokea sasa hivi ni wakusanya ticket wanakusanya tickets pamoja na EFD receipts, kisha wanazirudisha katika sales point hili coaster hapa getini.
Babu Tale yupo getini.
Weka ya ticket uliyonunua kama kweli unawezanunua zaidi ya kusubiria fungulia dogBro kama ukiamua kurudi nyuma kwenye threads utajua sina shida ya hela, kabisa yani
Kama ticket zimeisha mbona huku ndani hapajajaa na watu wanapanga foleni kupokea ticket ambazo zimelipiwa?
Kwanini wakusanye ticket ana efd receipt?na wanazirudisha kweye coaster kufanya nini?ngoja nikanunue nyingine nijue ni ya mda gani
Hivi kwa nini kizazi cha 1989-2000 mna roho mbaya sana. Hizo hela wakija TRA kumkamua huyo unaetaka wamkamue,unafikiri kuna mahala wewe hizo hela utaitwa kwenda kuzipangia matumizi?.Kinachotokea sasa hivi ni wakusanya ticket wanakusanya tickets pamoja na EFD receipts, kisha wanazirudisha katika sales point hili coaster hapa getini.
Babu Tale yupo getini.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nini kinaendelea getiniHa ha rudi getini kaangalie kinachoendelea now, asante sana huu uzi... case closed kitambo!
Kauli ya kipumbavu Sana hiiUnoko haukusaidii kitu! We pambana na hali yako waache wenzio wapige kazi zao
Siyo sold out, wanarudisha ambazo wameshatoa receipt za efd, ukifika getini wanaichukua kama ulivyoinunua, kisha wanairudisha kwenye coaster ananunua mwingine
Mimi nnkuwekea beer, Heineken hapa ni 5,000/= View attachment 1258901