TRA kuweni makini, Wasafi Festival

TRA kuweni makini, Wasafi Festival

Umezuiliwa kuingia getini huna pesa umeamua kuchoma, tiketi zishaisha rudi kalale tu.... usiwafundishe kazi TRA kodi haikusanywi hivyo.
 
Umezuiliwa kuingia getini huna pesa umeamua kuchoma, tiketi zishaisha rudi kalale tu.... usiwafundishe kazi TRA kodi haikusanywi hivyo.

Bro kama ukiamua kurudi nyuma kwenye threads utajua sina shida ya hela, kabisa yani

Kama ticket zimeisha mbona huku ndani hapajajaa na watu wanapanga foleni kupokea ticket ambazo zimelipiwa?

Kwanini wakusanye ticket ana efd receipt?na wanazirudisha kweye coaster kufanya nini?ngoja nikanunue nyingine nijue ni ya mda gani
 
Back
Top Bottom