Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,914
- 93,667
Kodi kibao ufanisi zero
Ni wazo zuri kabisa lakini mapato yake yatumike kwa usahihi kwa kuzingatia sheria za kibubu cha umma tulizojiwekea wenyeweUongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
Kodi zilizikuwepo hazikusanywi hata kwa 30%. Kwa sababu TRA hawana resources na willingness kufanya hivyo.Hahaaaaa hii nchi bwana... Utitiri wa kodi haina maana kwamba ndo makusanyo yatakuwa mazuri..... Me nadhani ni vizuri serikali itafute namna nzuri ya kukusanya hizi kodi zilizopo.... Sina hakika ila sidhani kama hata kwa kodi zilizopo, serikali inakusanya 50%. Mtaongeza kodi hiyo ya urithi wakati Property tax imewashinda, VAT ndo usiseme, importy/ export duty imewashinda... Na kodi nyingine nyingi ambazo zimewashinda kukusanya!!!
corrupt kama uliwahi isikikiza hituba ya nyerere, ukiona serikali inandama mpaka machinga alipe kodi hiyo ni corrupted government, kama wewe ni muhenga utaifahamu hiyo hotuba, kwa tz yetu hata wakatae wananchi wao watalazimisha tu, mifuko ya jamii ni hiari wao wanalazimisha na mwisho wa siku mlengwa hapati chochoteUongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani.
Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa urithi kulipa kodi ya asilimia 15, pamoja na hilo TRA pia hiko kwenye mchakato mwingine kama huo ambao hutawaka pia watu wote wanaopokea zawadi zinazozidi thamani ya mil tano(mil 5) pia kulipa kodi ya asilimia 15 ya thamani ya zawadi hiyo.
Bila shaka hili litakuwa pigo linguine kwa vibopa wanaohonga bongo movies magari maana itawabidi kuongeza asilimia 15 ya serikali juu yake.
Nini maoni yako?
kwa akili yako kabisa unadhani nchi itaendelea kwa kumnyonya mwananchi wake tena mnyonge, biko peke yake hupewi m20, tra wanachukua 18% sasa mambo gani hayowacha tunyooshwe kwa maendeleo ya taifa
mbona tayari, we upo tz hii mkuu, mpaka na kumbi za harusi nazo kodi,Tutaanza kukata kodi hadi kwenye michango ya harusi na sadaka. Time will tell
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona tunalilia demokrasia ya Marekani lakini la kodi tunapinga? Kodi hii Marekani ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
tutawalipa sisi
mbona tayari mkuuNaona michango ya harusi, mazishi na pesa ama Mali ya kuposea zitatozwa kodi. Tanzania itakuwa taifa la kwanza duniani kwa utozaji wa kodi.
utajilingajisha na marekani, ulisikia marekani demokrasia inaminywaMbona tunalilia demokrasia ya Marekani lakini la kodi tunapinga? Kodi hii Marekani ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
thubutuMtuletee na kodi za marais na familia zao.
Na za viongozi na familia zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo hiyo democrasia sasa?Mbona tunalilia demokrasia ya Marekani lakini la kodi tunapinga? Kodi hii Marekani ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app