Inartia
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 1,284
- 1,305
Kwa maendeleo ya taifa au kwa maendeleo ya wachache?wacha tunyooshwe kwa maendeleo ya taifa
Kwa maendeleo ya taifa au kwa maendeleo ya wachache?wacha tunyooshwe kwa maendeleo ya taifa
Mambo ya kuudhi tunapigana kwa kila hali kuyaiga! Tungefanya hivyo hata kwenye demokrasia ingependeza sana.Kodi kama hizi zipo sana kwenye baadhi ya nchi huko ughaibuni.
Mambo haya sio ya kuudhi, ni kwa manufaa ya uchumi wa nchiMambo ya kuudhi tunapigana kwa kila hali kuyaiga! Tungefanya hivyo hata kwenye demokrasia ingependeza sana.
Magu fail atakusanya zote na bado hatatosheka mpaka atakapoacha kukurupukatukopi tukopi tunavyoviweza,
Mimi nipo kijijini, makusanyo ya kodi mnayaelekeza kujenga ma flyover huko mijini kwa mabilioni!Mambo haya sio ya kuudhi, ni kwa manufaa ya uchumi wa nchi
Hili la BashiteMaendeleo ya taifa gani??