TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

Chandarua cha mita ngapi hicho cha 150000 kama hutajali😂 unijuze
20220702_101706.jpg
 
Kwahio ile laki 8 alikuwa anachukua nani kipindi zinalalazimishwa watu wanunue?
Ilikuwa yaenda kwa contractors.
Kwa sasa wengi wamehamia digital zaidi
Ambapo bila printer walipia 60K kwa mwaka
Printer ni machaguzi na yauzwa 140-150K
 
Inaonesha kila ripoti ukitaka ya siku, mwezi, wiki yote unapata, pia ina option ya kusave risiti unazo toa
Sawa nasema ikusanye report ya kilichokusanywa ili wote Tanzania tujue tumechanga bei gani serikalini ili wale wapuuzi wanapojisifia serikali imekusanya trillion 1 kumbe wamechukua 3 tuwe tunajua kabisa.
 
Mmh basi nikajua zile au unasemea net kama za vitanda vya hotel zile zenye mapazia 😂😂😂
Ndo hizo...sio za hotel mkuu...watu wanalalia majumbani mwao kama kawa. Sema ufungaji wake tu ndo unaita hadi fundi
 
Sawa nasema ikusanye report ya kilichokusanywa ili wote Tanzania tujue tumechanga bei gani serikalini ili wale wapuuzi wanapojisifia serikali imekusanya trillion 1 kumbe wamechukua 3 tuwe tunajua kabisa.
Lengo lao kubwa ni kuongeza tax base
Maana yake kila mwenye mauzo chini ya 11,000,000
Anatakiwa alipie kodi 100,000 kwa mwaka

Mashine yako ikivuka lengo wao wanakuongezea kodi hadi kufikia 3.5% ya mauzo yako
 
Lengo lao kubwa ni kuongeza tax base
Maana yake kila mwenye mauzo chini ya 11,000,000
Anatakiwa alipie kodi 100,000 kwa mwaka

Mashine yako ikivuka lengo wao wanakuongezea kodi hadi kufikia 3.5% ya mauzo yako
Wanakuongezea kodi tena au wanapunguza?
 
Wanakuongezea kodi tena au wanapunguza?
Wanakuongezea maana mashine yako itakuwa inapeleka data za mauzo yako kila siku, wewe watakiwa utengeneze hesabu ili ulipe kodi kidogo vinginevyo utalipa kubwa maana waweza jikuta mauzo yako ni zaidi ya 20mil kwa mwaka
 
Back
Top Bottom