TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

Elimu itolewe kwa wafanyabiashara na wanunuzi, TRA iwe wazi kuainisha faida ya kuomba na kutoa risiti kwa haya makundi mawili badala ya kutoa vitisho n.k huku taarifa wamezikalia.

Mfano taarifa za kuwa mfanyabiashara anaweza kudai marejesho yatokanayo na credit ya VAT iliyozidi haipo wazi, na njia ya kurudishiwa ni ngumu mno na inachukuwa muda mrefu, wakati wao wanataka ukisha file return hapo hapo ulipe...ili mifumo yao ifanye kazi vizuri lazima kila mmoja anyooke haiwezekani mfanyabiashara anyooke halafu TRA wana kona kona nyingi unapotaka kudai vya kwako.
 
Mteja unaingia dukani unauliza bidhaa...unatajiwa bei...mfano mimi nilienda nunua chandarua cha mbu nkaambiwa bei ni 150000. Nikaomba nipunguziwe. Wakakubali kuniuzia 130000 ila kwenye mashine ya TRA wataandika 70000.
Au bila risiti unaambiwa utoe 100000. Kama mteja unayepambana na tozo unajua maamuzi yanayofuata.
Maamuzi yalikuwa siri yangu mwenyewe.
Wengi wa wafanyabiashara hufanya hivyo.
 
Wengi wa wafanyabiashara hufanya hivyo.
Ndk michezo ya kariakoo...
tena wengine hata wakiuza bei juu bado risiti wanakuandikia ya pungufu na hela uliyotoa. Mteja yeye anachagua option ya nafuu kwake maana hayo mapato yakifika serikalini wanaoyafaidi direct ni wachache mno.
 
Hii nimeulizia jana kariakoo wamembia 25000 au walitaka kunipiga
🤣🤣🤣🤣
Labda waliiba mahali. Me menunua dukani bei ni hiyo. Au labda walikuonesha ile ya hema maana hii ina mfuko wake maalumu na vyuma vyake vya kufungia.
 
Ndk michezo ya kariakoo...
tena wengine hata wakiuza bei juu bado risiti wanakuandikia ya pungufu na hela uliyotoa. Mteja yeye anachagua option ya nafuu kwake maana hayo mapato yakifika serikalini wanaoyafaidi direct ni wachache mno.
Hivi wale wafanyakazi wanao fatilia risiti kariakoo wapo serious kweli na kazi kodi zetu zinalipwa kwa watu ambao hawako makini na kazi
 
🤣🤣🤣🤣
Labda waliiba mahali. Me menunua dukani bei ni hiyo. Au labda walikuonesha ile ya hema maana hii ina mfuko wake maalumu na vyuma vyake vya kufungia.
Ni hii
59429A98-FAF4-42D7-863C-F3E0EDA7F0A6.jpeg
 
Hivi wale wafanyakazi wanao fatilia risiti kariakoo wapo serious kweli na kazi kodi zetu zinalipwa kwa watu ambao hawako makini na kazi
Wakiwa serious bei zitapanda mno hatutaweza nunua. Si unajua ishu ta tax incidence ambapo mzigo wa kufidia gharama anahamishiwa mteja??
 
Back
Top Bottom