TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

Kama hufikishi 12m Kwa mwaka ondoka Kariakoo.
Kkoo mbona Kuna biashara nyingi tu ambazo ni ndogo sana, na wanastahili kuwepo.
Sheria inasema chini ya mil 12(kabla ya mama ilikua chini ya mil 14) hawatahusika na efd machine,. Sasa Sheria ibadiloshwe Kama mnataka kila biasharaa itoe risiti
 
Iende kwa mfano.

Rais akatwe kodi na iwe wazi.

Wabunge wakatwe kodi na iwe wazi.

Apart from that I'm not boarding .
 
Sasa wale wenye meza,na wanatundika ukutani wameshakuwa kibiashara?
Wameshakuwa wakubwa kabisa tangu vitambulisho vya machinga vianze sasa ni mwaka wa 3 so faida washaipata kama walikuwa na m12 sasa wana 20m
Huu mchezo hauhitaji hasira
 
Suala la hizo risiti tunazopewa kuwa hazitambuliki TRA wanalifahamu? Yaani, hizo mashine haziko connected kwenye system, risiti wanazotoa ni kwaajili ya kusafiria na kukuepusha na askari njaa barabarani
 
Kkoo mbona Kuna biashara nyingi tu ambazo ni ndogo sana, na wanastahili kuwepo.
Sheria inasema chini ya mil 12(kabla ya mama ilikua chini ya mil 14) hawatahusika na efd machine,. Sasa Sheria ibadiloshwe Kama mnataka kila biasharaa itoe risiti

Na sheria pia inasema ukiwa katika Prime Areas hilo suala litakubidi ufanye.
 
Back
Top Bottom