TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

TRA: Kariakoo lazima EFD kwa wote

Wakikukamata utajua wapo serious au wanatania..
Walishanikama si chini ya mara tatu au nne na jibu langu ni moja mzigo nimenunua kwa chiga hata kama nina box 📦 kubwa wananiacha.Nimegundua ikifika jioni wanapata chochote kitu kwa wenye madukani kariakoo
 
Walishanikama si chini ya mara tatu au nne na jibu langu ni moja mzigo nimenunua kwa chiga hata kama nina box kubwa wananiacha.Nimegundua ikifika jioni wanapata chochote kitu kwa wenye madukani kariakoo
Ndio maana kwa sasa wameweka lazima kila mtu awe na efd vinginevyo hama mjini
 
Walishanikama si chini ya mara tatu au nne na jibu langu ni moja mzigo nimenunua kwa chiga hata kama nina box 📦 kubwa wananiacha.Nimegundua ikifika jioni wanapata chochote kitu kwa wenye madukani kariakoo
Hio mbinu nzuri sana ntakuwa naishi nayo 😀😀😀
 
Mwe mji hatuhami na kuwakwepa kama kawaida labla chinga wawe na risiti
TRA wamesema yeyote afanyaye biashara Kariakoo amepewa siku 15 toka siku ya Tangazo awe na TIN na EFD
 
Na elimu kwa wananchi itiliwe nguvu, wahamasishwe kutokukubali risiti ya kubebea mzigo (Kiasi cha risiti kiendane na pesa ya malipo)

Ilikua ni zamani za JPM sio sasa hivi mwananchi hata akiweka mafuta kwenye ndinga kwa jinsi wese lilivyopanda hana hana hamu ya kuweka risiti
 
Dah hivi hii VFD inakuwaje?
Hii VFD ni safi sana na inatibu matatizo mengi sana yaliyokua yakipigiwa kelele na watu kwenye EFD.
Hii inakua ni kama web based system ambayo unaweza kuitumia kwa simu janja ama computer na wewe muuzaji unakua na acount yako ambayo ndio imebeba taarifa zako.
Hiiutakua unaweka details za bidhaa unayouza details za mteja na namba yake ya simu au email kisha anatumiwa risiti hiyo. Kama utapenda print out za hardcopy basi unaweza kuunganisha na printer ndogo ya hizo karatasi za risiti na ukatoa risiti kama kawaida.

KWA NINI WAFANYABIASHARA WENGI HAWAZITAKI?
Hizi hazina janja janja za kudanganya kwenye records kama zilivyo hizi EFD ambapo muuzaji huweza kufanya cheating ya idadi /bei ya bidhaa. Pia kwenye EFD muuzaji huweza kufanya udanganyifu wa kutoa rusiti ya bei halisi lakini mashine isiweke records husika hivyo inakua ni rahisi kutoa risiti hewa.

NINACHOJIULIZA MIMI.
Serikali imeruhusu kutumika kwa huu mfumo lakini sioni hao TRA wakiupigia chapuo huu mfumo sijui ni kwanini , lakini kama serikali ikitaka ku'maximize hikihiki kidogo na hawa hawa wanaoiba basi huu mfumo ni sahihi kabisa maana upo smart na ni gharama nafuu kuutumia ukilinganisha na EFD.

Najua kwa watanzania tulivyo tutakuja kuulalamikia huu mfumo kuwa hatuna hela ya kununulia bando ili tuutumie😂😂😂😂.

Kiufupi ndio namna huu mfumo ulivyo, very smart, reliable and effective
 
Hii VFD ni safi sana na inatibu matatizo mengi sana yaliyokua yakipigiwa kelele na watu kwenye EFD.
Hii inakua ni kama web based system ambayo unaweza kuitumia kwa simu janja ama computer na wewe muuzaji unakua na acount yako ambayo ndio imebeba taarifa zako.
Hiiutakua unaweka details za bidhaa unayouza details za mteja na namba yake ya simu au email kisha anatumiwa risiti hiyo. Kama utapenda print out za hardcopy basi unaweza kuunganisha na printer ndogo ya hizo karatasi za risiti na ukatoa risiti kama kawaida.

KWA NINI WAFANYABIASHARA WENGI HAWAZITAKI?
Hizi hazina janja janja za kudanganya kwenye records kama zilivyo hizi EFD ambapo muuzaji huweza kufanya cheating ya idadi /bei ya bidhaa. Pia kwenye EFD muuzaji huweza kufanya udanganyifu wa kutoa rusiti ya bei halisi lakini mashine isiweke records husika hivyo inakua ni rahisi kutoa risiti hewa.

NINACHOJIULIZA MIMI.
Serikali imeruhusu kutumika kwa huu mfumo lakini sioni hao TRA wakiupigia chapuo huu mfumo sijui ni kwanini , lakini kama serikali ikitaka ku'maximize hikihiki kidogo na hawa hawa wanaoiba basi huu mfumo ni sahihi kabisa maana upo smart na ni gharama nafuu kuutumia ukilinganisha na EFD.

Najua kwa watanzania tulivyo tutakuja kuulalamikia huu mfumo kuwa hatuna hela ya kununulia bando ili tuutumie😂😂😂😂.

Kiufupi ndio namna huu mfumo ulivyo, very smart, reliable and effective
Kwahio una set kila bidhaa na bei yake individually? Sio ile unaweza ukachapa collectively tu kama "Hardware Items" 😀😀😀
 
Kwahio una set kila bidhaa na bei yake individually? Sio ile unaweza ukachapa collectively tu kama "Hardware Items" 😀😀😀
Yap, unaandika kwa vile upendavyo, hata ukitaka kulist bidhaa kwa idadi yake inakubali. Kimsingi endapo serikali inataka kukusanya vizuri na kupunguza ujanja ujanja basi waweke shart hili kwa wateja wote wapyaa wanaohitaji EFD tutaona matunda yake. Ila nina wasiwasi kuwa wanufaika wa EFD wakakwamisha huu mfumo
 
Hii VFD ni safi sana na inatibu matatizo mengi sana yaliyokua yakipigiwa kelele na watu kwenye EFD.
Hii inakua ni kama web based system ambayo unaweza kuitumia kwa simu janja ama computer na wewe muuzaji unakua na acount yako ambayo ndio imebeba taarifa zako.
Hiiutakua unaweka details za bidhaa unayouza details za mteja na namba yake ya simu au email kisha anatumiwa risiti hiyo. Kama utapenda print out za hardcopy basi unaweza kuunganisha na printer ndogo ya hizo karatasi za risiti na ukatoa risiti kama kawaida.

KWA NINI WAFANYABIASHARA WENGI HAWAZITAKI?
Hizi hazina janja janja za kudanganya kwenye records kama zilivyo hizi EFD ambapo muuzaji huweza kufanya cheating ya idadi /bei ya bidhaa. Pia kwenye EFD muuzaji huweza kufanya udanganyifu wa kutoa rusiti ya bei halisi lakini mashine isiweke records husika hivyo inakua ni rahisi kutoa risiti hewa.

NINACHOJIULIZA MIMI.
Serikali imeruhusu kutumika kwa huu mfumo lakini sioni hao TRA wakiupigia chapuo huu mfumo sijui ni kwanini , lakini kama serikali ikitaka ku'maximize hikihiki kidogo na hawa hawa wanaoiba basi huu mfumo ni sahihi kabisa maana upo smart na ni gharama nafuu kuutumia ukilinganisha na EFD.

Najua kwa watanzania tulivyo tutakuja kuulalamikia huu mfumo kuwa hatuna hela ya kununulia bando ili tuutumie😂😂😂😂.

Kiufupi ndio namna huu mfumo ulivyo, very smart, reliable and effective
Alafu kila Jioni unatuma Z report TRA automatic.Wakati physical EFD kila siku Unatakiwa utume Z Report Manual.VFD ni cheap na inaweza wekwa ata kwenye Simu, kwa Wamachinga ni good solution kwani aina complications kama hizi physical EFD
 
Back
Top Bottom