Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,147
- 190,643
Af sitanii nipo serious mwenzio😍Acha basiii
Ushaanza
Af sitanii nipo serious mwenzio😍Acha basiii
Ushaanza
Kwahyo nikikwepa kulipa kodi 2022, mwaka 2025 nisidaiwe ???Alitaka walipe kodi halali na halisi na sio zile za kuchomekewa kwamba sijui anadaiwa kodi za miaka mitano au kumi iliyopita hesabu zake zilipigwa chini ya kile alichotakiwa kulipa hivyo analazimishwa kulipa huku akaunti yake ya benki ikipigwa pin na kutishiwa kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi.
Hizo ndio Rais Samia alikataa.
Kama hufikishi 12m Kwa mwaka ondoka Kariakoo.
Sasa kuna maana gani kama ntalala mwenyewe. Kuna mambo ntakuwa nakuuliza so lazma uwepo ata kwenye kochi pembeniNtakupisha hiyo siku ulale ila itabidi ulipie laki moja per night.
Kkoo mbona Kuna biashara nyingi tu ambazo ni ndogo sana, na wanastahili kuwepo.
Sheria inasema chini ya mil 12(kabla ya mama ilikua chini ya mil 14) hawatahusika na efd machine,. Sasa Sheria ibadiloshwe Kama mnataka kila biasharaa itoe risiti
Uko njemaaKidogo tu mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣huko hotelin wahudumu wanakaaga pembenii?Sasa kuna maana gani kama ntalala mwenyewe. Kuna mambo ntakuwa nakuuliza so lazma uwepo ata kwenye kochi pembeni
Upishi wa data hauwezi kukwepeka, kuna jamaa nilikuwa namfungia hesabu zake za kampuni, ana malori yanapiga Transit Dar-Lubumbashi anapiga hela kwenda na kugeuka.Wanakuongezea maana mashine yako itakuwa inapeleka data za mauzo yako kila siku, wewe watakiwa utengeneze hesabu ili ulipe kodi kidogo vinginevyo utalipa kubwa maana waweza jikuta mauzo yako ni zaidi ya 20mil kwa mwaka
Nimekutafuta sana. Njoo PM please.Ukweli mchungu
WalaaaUko njemaa
Hahahah hapo sio hotelini sasa ni makazi😍 mi ntalipa kiingilio cha laki 1 ila sharti uwepo karibu tu😍😍😍🤣🤣🤣🤣🤣huko hotelin wahudumu wanakaaga pembenii?
Extroo na ww
Zawadi watu hawajinunuliagi na ku bargain kabisa😀😀😀Walaaa
Je kama nilipewa zawadi?
🤣🤣🤣🤣🤣Hahahah hapo sio hotelini sasa ni makazi😍 mi ntalipa kiingilio cha laki 1 ila sharti uwepo karibu tu😍😍😍
Machinga ana elimu gani ya e-filing wawabane ili wahasibu tuishi nao tu 😀😀😀Ndio njia pekee inayoweza kukuokoa
Maana yake machinga lazima aombe risiti, aitunze na afanye filing ili ajiokoe kwenye kodi, akifanya hivyo wataokota, wasipofanya hivyo ni kilio
Hapo sasa,mafundi huwa wanaondoka hata bila kulipwa PESA,huwa nawasihi wanaume wenzangu kua,inabidi unakua na kaujuzi flaniflani,mfano kama ujuzi wa kufunga neti,umeme,kuseti madishi n.k... Huwakosi.Ndo hizo...sio za hotel mkuu...watu wanalalia majumbani mwao kama kawa. Sema ufungaji wake tu ndo unaita hadi fundi
Ushaharibu uzi wa watuuZawadi watu hawajinunuliagi na ku bargain kabisa😀😀😀
Akiyamungu nakwambia, do the needful🤣🤣🤣🤣🤣
Wee bana ww ntakuchapa ww
Me nlilipia 20000 kufungiwa mkuuHapo sasa,mafundi huwa wanaondoka hata bila kulipwa PESA,huwa nawasihi wanaume wenzangu kua,inabidi unakua na kaujuzi flaniflani,mfano kama ujuzi wa kufunga neti,umeme,kuseti madishi n.k... Huwakosi.